Rugby Union
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 402
- 252
Leo kutoka Jijini Dar es Salaam, Azam Sports kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu wanazindua Kombe la Shirikisho ambalo litachezwa kuanzia msimu wa 2015/2016.
Fuatana nasi kwa taarifa zaidi...
==============================
==============================
Droo ya mashindano hayo inachezeshwa sasa, tumechelewa kidogo kuanza updates hizi...
Michuano hii itahusisha timu 64 za Ligi Kuu bara na Zanzibar, Ligi Daraja la Kwanza na timu kutoka visiwani Zanzibar kwa mgawanyo uliofafanuliwa.
Timu 16 zitatoka Ligi Kuu Bara na Zanzibar, Timu 48 zitatoka Daraja la Kwanza na Daraja la Pili kwa mgawanyo wa timu 24 kila daraja.
Mashindano yataanza mwezi Novemba mwaka huu.
Kombe linarejeshwa baada ya kutochezwa kwa muda wa miaka 13! Timu zitapewa udhamini wa shilingi milioni 3 kama nauli ikiwa inaenda kucheza ugenini, vifaa!
Waamuzi watalipwa kwa viwango vya Ligi Kuu ya Vodacom!
Kuanzia 2017, bingwa wa mashindano haya atawakilisha nchi katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2017.
Jamali Malinzi anahutubia sasa...
Fuatana nasi kwa taarifa zaidi...
==============================
==============================
Droo ya mashindano hayo inachezeshwa sasa, tumechelewa kidogo kuanza updates hizi...
Michuano hii itahusisha timu 64 za Ligi Kuu bara na Zanzibar, Ligi Daraja la Kwanza na timu kutoka visiwani Zanzibar kwa mgawanyo uliofafanuliwa.
Timu 16 zitatoka Ligi Kuu Bara na Zanzibar, Timu 48 zitatoka Daraja la Kwanza na Daraja la Pili kwa mgawanyo wa timu 24 kila daraja.
Mashindano yataanza mwezi Novemba mwaka huu.
Kombe linarejeshwa baada ya kutochezwa kwa muda wa miaka 13! Timu zitapewa udhamini wa shilingi milioni 3 kama nauli ikiwa inaenda kucheza ugenini, vifaa!
Waamuzi watalipwa kwa viwango vya Ligi Kuu ya Vodacom!
Kuanzia 2017, bingwa wa mashindano haya atawakilisha nchi katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika mwaka 2017.
Jamali Malinzi anahutubia sasa...
Attachments
Last edited by a moderator: