Kutoka facebook!

Kutoka facebook!

Bilionea kid

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2018
Posts
581
Reaction score
519
Naombeni mnipokee mimi mgeni kutoka facebook na mtandao pendwa instagram.

๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ
 
Mkuu gari ya kwenda wap??

Jf mnamikwaraa lakini!!

[emoji124][emoji124][emoji604][emoji604]
Karibu jukwaan. Jf Sio Fb nakukumbusha tena Jf sio Fb.

Furahia kila jukwaa ila lawakubwa mpka tukakupime uzito wa fikra kwanza.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ asante tatizo la huku kila mtu msomi IQ nyingi.

QUOTE="Internal, post: 28848020, member: 418032"]Karibu jukwaan. Jf Sio Fb nakukumbusha tena Jf sio Fb.

Furahia kila jukwaa ila lawakubwa mpka tukakupime uzito wa fikra kwanza.[/QUOTE]
 
karibu sana beba na utoto wako njoo nao maana huku pia kuna watoto wenzio
 
Back
Top Bottom