KUTOKA HALOTEL! UNAJIPATIA LAINI MAALUM YA M2M, HII NI DATA ONLY AIPIGI SIMU WALA KUTUMA SMS. BAADA YA USAJILI UNAJIUNGA MWENYEWE.

KUTOKA HALOTEL! UNAJIPATIA LAINI MAALUM YA M2M, HII NI DATA ONLY AIPIGI SIMU WALA KUTUMA SMS. BAADA YA USAJILI UNAJIUNGA MWENYEWE.

Mkuu Imagine kama ni Ofisi ambayo ina wafanyakazi 20 ukiwanunulia bando la laki 9 kwa mwaka.ina maana Gharama yako kwa GB moja ya DATA ni Shilingi 500.Kila mwezi unakuwa na GB 130+.
Huyo bado upeo wake ni mdogo. Ndo hawa huwa wanashangaa wakisikia kuna hoteli za kulala Tsh. 300,000/- kwa siku kwa chumba.
 
Back
Top Bottom