Rudolph Hess
Member
- Sep 29, 2013
- 29
- 9
Nimeipata hii kutoka ndani kwa mtu wa karibu amesema wote tunatakiwa kuacha majina yetu na screening itafanywa upya ili kuona kama kuna mtu ameonewa. Mtu atakaye pata mkopo ni yule ambaye ataonekana kama ni yatima awe alituma vyeti vya uthibitisho wa wazazi wake kufariki na awe hajawahi kupata mkopo na ku-disco katika chuo chochote, na vigezo vya course za priority vitafuata. Ni hayo tu bandugu wenzangu. NB: "He who goes to the King must go with Clean hands". Hii theory ipo kwenye sharia za common za uingereza yaani ukiona mahakama zote zimekuonea basi unaenda kwa Mfalme ku-appeal na ukienda hapo hakikisha kesi yako ni "water tight"