Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Wanawake wakighafirika his wanasema lolote tu ili mradi wamuumize aliewaumiza na wao. Inawezekana jamaa anaenda kwa mganga kweli ( asilimia kubwa ya wafanyabiashara Tanzania wana waganga) lakini hakuna anaeweza kuthibitisha kua alimtoa mdogo wake kafara, na haileti maana kuamini kwamba Mungu ( muumba mbingu na ardhi ) ataacha kiumbe wake adhalilishwe ( awe ndondocha ) ili mwingine anufaike.
Kuna maelezo mazuri kwanini yaliotokea yametokea.
 
Mkono ulipowekwa kwenye kule...amemtazama Mganga daah.Mshana Jr kuna watu humu huwa wanajifanya kuwa haya mambo hayapo...Mfano ndio kama huo.Ndani wa Uzuri wetu kuna mambo mengi sana yamejificha.Shukuru sana kama hujapitia wala kuwaza kupitia hatua hizo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] coco babe ni kivuruge yaani ushabadilisha mada kabisa mm ndio mana nakupenda
 
Huyo mwanamke nae ndo wale wale hana lolote sio kweli kua eti alikua hataki!!!

Mnaafiki tu na anajua kila kitu kinachoendelea siri ya utajiri wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…