mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
Hii tabia watu wa Arusha na Kilimanjaro wanapenda sana, makafara ya laana haya kwa starehe ya dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha!! Au wanataka kutoa wimbo mpya mkuu.Isije kuwa ni kick ya movie, maana bongo nyoso
Vijana wanahela lkn wanalala makuburini utaweza nduguNataka nikachimbe madini na Mimi
Wanawake wakighafirika his wanasema lolote tu ili mradi wamuumize aliewaumiza na wao. Inawezekana jamaa anaenda kwa mganga kweli ( asilimia kubwa ya wafanyabiashara Tanzania wana waganga) lakini hakuna anaeweza kuthibitisha kua alimtoa mdogo wake kafara, na haileti maana kuamini kwamba Mungu ( muumba mbingu na ardhi ) ataacha kiumbe wake adhalilishwe ( awe ndondocha ) ili mwingine anufaike.Umofia Kwenu wana JF,
Katika kupitapita instagram leo,nimekutana na habari inayomuongelea "Bilionea wa madini" Ibra Mwakichui behind his sucess kwamba alitoa kafara mdogo wake na kumfanya mama yake zezeta.
Taarifa hizo amezitoa mkewe baada ya kuchukizwa kwa kuvuja kwa video ikimuonyesha yupo kwa mganga wa kienyeji akifanyiwa matambiko/tiba.
Nisikuchoshe wala tusichoshane unaweza kuona screenshots za insta.
View attachment 810953
View attachment 810954
Mke anayedaiwa kutoa hayo maelezo ya juu na video yake yake kwa mganga.
View attachment 810961
Mwanamme inayedaiwa aliyevujisha video.
View attachment 810962
View attachment 810963
Clip Samiratha akiwa kwa Mganga,Hii Clip ndio iliyosababisha afichue siri ya utajiri wa aliyekuwa Mumewe.
Jamani mbona siioni au Nakaaya kaifuta?Milly karusha screenshot za huyo samira video ipo kwa nakaaya
Kama domo alivyokuwa anagawa pesa juziKumbe je hao masheikh wao wanakua wanamaliza mambo yao ile dua kulisha watoto km kafara yaani ila sio eti kwa ajili ya kusaidia,unagangwa then wanamaliza kulisha yatima au watoto pale ndo hitimisho
Jamani mbona siioni au Nakaaya kaifuta?
Shukran sana maana koo lilinikaukaa hahahaNenda udakutz ipo
Jamani mbona siioni au Nakaaya kaifuta?
Ukiwa na kazi ya kutolala usiku pia
Unatia aibu kwa kuwa mdaku uliyejaaa uongo na nilifikiri unazo hata kidunchu.. kumbe unasukumwa na udaku wa mwenzako aliye ishiwa udaku hadi ana akaunti zingine anapuputia utabia wake..
Umeonyesha wewe unayajua haya.. maana kabla ulilia lia upekwe na kuandika wote wa mataifa tofauti waliofaidi.. mara pwaaaaa ukabadilika baada ya kufata masharti eeeeh ila kimoja kale ka klasi ulidanganya upo nako ukashindwa kukakeep.. kumbe ukageuka kuwa boyaaa.. mwemza huyo..
Acha tu sista! Masistaduuu wa town usiwaone tu wanashine ndani ya harrier kumbe nyuma ya Pazia ni vigagula balaa. Akikupiga usinga mmoja tu hupindui.
Zile kafara zao zile hakuna msaada wala nini!!!!Kama domo alivyokuwa anagawa pesa juzi
Wamefuta nenda michambo updateJamani mbona siioni au Nakaaya kaifuta?
Wanaroga mnoo!!!Acha tu sista! Masistaduuu wa town usiwaone tu wanashine ndani ya harrier kumbe nyuma ya Pazia ni vigagula balaa. Akikupiga usinga mmoja tu hupindui.
Huyo mwanamke nae ndo wale wale hana lolote sio kweli kua eti alikua hataki!!!Wanawake wakighafirika his wanasema lolote tu ili mradi wamuumize aliewaumiza na wao. Inawezekana jamaa anaenda kwa mganga kweli ( asilimia kubwa ya wafanyabiashara Tanzania wana waganga) lakini hakuna anaeweza kuthibitisha kua alimtoa mdogo wake kafara, na haileti maana kuamini kwamba Mungu ( muumba mbingu na ardhi ) ataacha kiumbe wake adhalilishwe ( awe ndondocha ) ili mwingine anufaike.
Kuna maelezo mazuri kwanini yaliotokea yametokea.