Yani wewe sijui unaandikanga pumba ganiUmedoda siku hizi humu
Unatafuta kiki kupitia Cocochanel
Hata kufikiria nje ya boksi hujawahi wezs.. ila umesoma mwanzo mwisho.. ulifikiri nitaandika hayo ya waganga urudi tena kuwanga.. ukifikiro utasoma pale pa wanatoa huduma bure... eeeeh
U too low low loooooooow
Embu pita hukoooo.. ukitaka lia lia kwa kumalizwa.. eeeeeh
Ruth yupi huyo au mzee wa muranoDunia kweli inazunguka lkn kuna watu huwa hawabadiliki.
Jmn kuna wanaume wanakujaga kuoa wanawake mangoro dahhh.
Ruth kaanzaga kuuza mbunye kitambo sana inapaswa awe amestaafu sasa..
Ottu ule mjengo karibu na soko kuu arusha?Huyo kima nishamjua ,demu aliyemuoa mwanzo alikuwa Irene Joshua ,Mshua wake huyu demu yupo Ottu pale na mambo ya madini pia
Katika story za wana Apolo mkuu nakuaminiaKua na nyumba ya kuishi na gari 2 kwa kuloga kwa speed ya 4G ni ukichaa,kwa ushirikina wke wote angemiliki mali za kutosha,magari wanaapolo wanamiliki kwa wingi tena ya thamani kubwa,
Yeye anaroga bdo tu anatumia vx ya mwaka 96
Jamaa ni Mbwiga sana,bora alivyoondoka huyo Samira maana angetoa watoto wake.Sio samiratha tu....ale bata na totoz zingine, maisha mafupi ila yy anakutanguliza fasta!
Hata Sijui anafanya nini town.Ana title gani mjini?
Nina ushahidi kamili....kuna siku ntaelezea kuhusu wahindi na uchawi wao...msipime!SIjabahatika kufanya kazi na wazungu,ila wahindi na waarabu nimewaona aisee jamaa ni washirikina hatari,wanazika Ng'ombe mzimamzima,enzi hizo k/kko kila duka la muhindi ndani au nje kaweka ndondocha halafu yeye anauza vifungo vya shati,sindano na uzi halafu kila jumapili wanaenda beach kwenye Ma_Mansion yao wamejenga ufukweni,sasa unajiuliza huyo jamaa anauza sindano na uzi k/kko anamiliki eneo beach na mansion juu.
Hahaa Jf imenishinda tabia.Ruth yupi huyo au mzee wa murano
Nilimaanisha 'abdakadabra"......''hilo neno asili yake ni kwenye novels za Harry Potter....
MhhhKuna aliyembikiri mtoto wake ili nyota yake ing’ae na iling’aa kweli Afrika nzima lakini sasa inaanza kufifia. Ninadhani alikiuka masharti ya mganga amefanya vurugu nyingi mpaka kupora wake za watu.
Tunasafari ndefu ya ukombozi wa kiakili na kifikraUkichimba Mererani ofcourse una uwezekano wa kupata Tanzanite, na ukiiuza utapata pesa, sasa sijui hapo nafasi ya Uganga na kafara zinazotajwa ni nini?
Oooh. It's true chief, ni utumwa flani hv...Nilimaanisha 'abdakadabra"......''hilo neno asili yake ni kwenye novles za Harry Potter....
Kwakiswahili tunaweza sema ni "keusi kekundu"
Huyo ruth kawala ndo nani?Na dada yake ni marehemu ,hujakosea kabisa
Huyu muuza mzutii kachoka kuanzia kiafya mpka kifedha,napishana nae mushono sijui kahamia hukuNa dada yake ni marehemu ,hujakosea kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na umbea wangu nimeenda kwa nakaaya nmekutana na mipicha ya vyakula..