Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Umedoda siku hizi humu
Unatafuta kiki kupitia Cocochanel

Hata kufikiria nje ya boksi hujawahi wezs.. ila umesoma mwanzo mwisho.. ulifikiri nitaandika hayo ya waganga urudi tena kuwanga.. ukifikiro utasoma pale pa wanatoa huduma bure... eeeeh

U too low low loooooooow
Embu pita hukoooo.. ukitaka lia lia kwa kumalizwa.. eeeeeh
Yani wewe sijui unaandikanga pumba gani

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
SIjabahatika kufanya kazi na wazungu,ila wahindi na waarabu nimewaona aisee jamaa ni washirikina hatari,wanazika Ng'ombe mzimamzima,enzi hizo k/kko kila duka la muhindi ndani au nje kaweka ndondocha halafu yeye anauza vifungo vya shati,sindano na uzi halafu kila jumapili wanaenda beach kwenye Ma_Mansion yao wamejenga ufukweni,sasa unajiuliza huyo jamaa anauza sindano na uzi k/kko anamiliki eneo beach na mansion juu.
Nina ushahidi kamili....kuna siku ntaelezea kuhusu wahindi na uchawi wao...msipime!
 
Back
Top Bottom