Duh!hivi aliwezaje lakini hyo maiti alivyofika nayo walishindwa hata kuhoji?!!Hpo ilikua hajamuoa huyo samira hata kujuana bdo alikua na mke wke baada ya hiyo issue mke akamkimbia
Amini usiamini mambo yapo, kama huamini yakikupata ndio utaamini.Utajiri kutoka kwa Mungu ni nadra huenda hakuna kabisa ila ni maujanja tu ya ulimwengu wa roho.
Huyu mwanaume kibokoHpo ilikua hajamuoa huyo samira hata kujuana bdo alikua na mke wke baada ya hiyo issue mke akamkimbia
Hakuna uchawi bhaana Duniani,huwa sihangaiki na vitu vya kufikirika. Bahati nzuri najua uzuri wa kuwa na hela,na ubaya wa kutokuwa nazo. Nimekulia familia duni,nikapata hela nyingi nikiwa kijana na zikakata zote kabisaa na zikarejea taratibu kwa muda wa miaka 16. Na zimerejea bila kupita kwa mganga. Yaani kwa jinsi nnavyojitambua,haiwezi kutokea ktk maisha yangu nikaenda kwa mganga akanifanye me fursa! Kwa hiyo siogopi mkuu,we fanya hiyo kazi..hata ukitaka nauli na vocha za kuanzia we niambie tu. Ila tu usinifanye fursa.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huogopi kurogwa wewe? Naona unataka kuonja sumu kwa kulamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuuh....nimeenda insta naona kaweka lock
Sijui ntapata wapi kapicha kake
Ila umaskini nao mmmh[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]Watu mkiwaona mtaani wamependeza,magari maxuri, nyumba nzuri etc, behind the scenes bora ubaki na umaskini wako ule unachopata kihalali.
Mengine anaongeza chumvi huyo Sami si unajua tena ktk kujisafisha!Ila huyu jamaa hadi kunywa damu za watu..mweeeeh
Ila hata hivyo alijiweza kua na bwana anaeabudu shiriki..duh!Mengine anaongeza chumvi huyo Sami si unajua tena ktk kujisafisha!
Afadhali aseeWapo wengine bdo wko vizuri mana wanamali waliwekeza
Mkuu nilitaka ubongo wake usinitoe kwenye mstari...ila nilihisi ni huyo hiyo mnayemsema mkuuDuuu Witness na kufuatilia kote huku bado hujajua ? Ruth
Wanawake tupate somo hapa...ukiona mwenzako kakimbia ndoa wewe usikurupuke kujiingiza ukaona utafaidi, hujui kilichomtoa mwenzako!Hpo ilikua hajamuoa huyo samira hata kujuana bdo alikua na mke wke baada ya hiyo issue mke akamkimbia
Wanawake nyie ni shida,sasa huyo nakayaa n kichwa chake kikubwa kumiliki toyota porte anaona ujanja,watu wanammega kisela tu istoshe kazaa na mme wa mtu so kma ndio kamchafua mwenzake sio poaWanawake hatupendani...mi nakataa huyo huyo ibu cha ulozii
Shunie nisaidie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii neno hiliWanawake tupate somo hapa...ukiona mwenzako kakimbia ndoa wewe usikurupuke kujiingiza ukaona utafaidi, hujui kilichomtoa mwenzako!
Cc. ( jina kapuni)
Achana na fikra za kuwa masikini..umasikini ni habari nyingine,usikie tu kwa jirani. Hata huo ushirikina chanzo chake ni umasikini..Watu mkiwaona mtaani wamependeza,magari maxuri, nyumba nzuri etc, behind the scenes bora ubaki na umaskini wako ule unachopata kihalali.
Na yeye anapenda angekua hapendi angekua ameshatoka mda sanaWanawake hatupendani...mi nakataa huyo huyo ibu cha ulozii
Alijua sana tu hata kwa kuulizia kilichomkimbiza Mke mwenza? Mama zezeta, Mdogo mtu kafa kimazingara, marafiki wanaishia nje ya geti...vyote hivyo hunusi blood danger!????Ila hata hivyo alijiweza kua na bwana anaeabudu shiriki..duh!
Ndani huko wanalala chini ukute loohhhWatu mkiwaona mtaani wamependeza,magari maxuri, nyumba nzuri etc, behind the scenes bora ubaki na umaskini wako ule unachopata kihalali.
Wanawake nyie ni shida,sasa huyo nakayaa n kichwa chake kikubwa kumiliki toyota porte anaona ujanja,watu wanammega kisela tu istoshe kazaa na mme wa mtu so kma ndio kamchafua mwenzake sio poa
Hahaaa.Wanawake nyie ni shida,sasa huyo nakayaa n kichwa chake kikubwa kumiliki toyota porte anaona ujanja,watu wanammega kisela tu istoshe kazaa na mme wa mtu so kma ndio kamchafua mwenzake sio poa
Lina wivu hilo libibi na nyota yake ya popo kuona usiku tu!Wanawake nyie ni shida,sasa huyo nakayaa n kichwa chake kikubwa kumiliki toyota porte anaona ujanja,watu wanammega kisela tu istoshe kazaa na mme wa mtu so kma ndio kamchafua mwenzake sio poa