D
HahahahahaaaLina wivu hilo libibi na nyota yake ya popo kuona usiku tu!
Ndo maana likipost insta halipatagi comment wala like....kaniuzii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] lohMkuu karibu sana mererani kwa wazee wa ukuta,hku siku hizi walinzi wa ukuta kila kukicha wanafumaniwa na wake za watu,kulinda ukuta kumewashinda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji123] [emoji382]Mfyuuuu ebu uko ungeweka hata herufi basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeona eeehh!akuvaa mziki alijua karamba dume kumbe garasaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ban ya kizembe siitaki...
Message sent, delivered, n read..anajijua!
Juzi nimekuta mwingne kafumaniwa na mwanafunzi wa sec kidogo wamtoe roho,mtasikia majanga mda si mrefu[emoji23] [emoji23] [emoji23] loh
Hahahahaha..shunie niwache mieUmekuwa mbea siku hizi [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani kah!Mimi siko insta nimeona humu wanasema ndio kapost hiyo picha,huyo nakaya mwili kma lemutuz halafu unaendesha porte,heri angeendesha lori au canter
Haahaaa ...kaona kapotea analazimisha kiki, mbona mdogo ake yuko fresh hanaga shidaJamani kaah![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wit looh
Wanataka wenyewe lakini!taamaa mbaya sana!basi tu!Juzi nimekuta mwingne kafumaniwa na mwanafunzi wa sec kidogo wamtoe roho,mtasikia majanga mda si mrefu
Yaani ila mi nampendaga katuliaHaahaaa ...kaona kapotea analazimisha kiki, mbona mdogo ake yuko fresh hanaga shida
Sijui namuona tu wkend nkiwa mjini na umbo lake kma mkate wa supa loafSiku hizi ana mishe gani huko A town...maana mziki umemkataa
Umeanza na ww naona wakina wit wameshakuambukiza mambo ya codeHahaha..kama mmiliki Fulani wa bank Fulani...ana nyumba nzuri lakini hakai..na anapokaa analala. Chini..jamani
Yaaaan ....angejiuliza kwanza hilo sio kushadadia vya watuHahahahahaaa
Hata me nashangaa na kiumaarufu chake anapitwa followers hata na page za umbea
Mmiliki wa bank yenye neno La mwisho bara tulilopoNani huyooo[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]
Weee mjanja...eti shunie hajui ni nani? Mzembe kweli haaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeona eeehh!akuvaa mziki alijua karamba dume kumbe garasaa...
Bank Africa....!!!duh!muarabu au mhindi!!!Mmiliki wa bank yenye neno La mwisho bara tulilopo
Aisee ..Juzi nimekuta mwingne kafumaniwa na mwanafunzi wa sec kidogo wamtoe roho,mtasikia majanga mda si mrefu
Shunie nae kila siku ananisemaga miye sijui mafumbo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Weee mjanja...eti shunie hajui ni nani? Mzembe kweli haaahaaa
Unampenda nani sasa? Dada mtu Mdogo mtu?Yaani ila mi nampendaga katulia
Sijui namuona tu wkend nkiwa mjini na umbo lake kma mkate wa supa loaf