Na mm niliwauliza tu kama hamtaki nifike siasani mniambie tu nijue sio kwa ban zile nikifunguliwa kesho nikiingia siasani ban tenaHaaahaaa....ndo tuwaulize eti mods mna matatizo gani na baadhi ya watu??
Kweli haibadiliki ila inauma sanaEeh jamani mkuu nakutania...kwani ni kkikuhisi we ni ke ndo dyudyu itageuka kuwa kiarage ama?...yaan wanaume hampendi[emoji23] [emoji23]
Mi pia nawachanganyaga
Hahahahaaa. Unataka kanyama?Nakuja pm jamani usije ukavalishwa ngozi ya kondoo mbichi unitumie japo kapicha
Teh teh Shunie leo wa kufungua Pm kirahisi hivi ?
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hao ndo mods kama wana mafuta ya taa kichwani vile!Mm kuna siku nilichamba walikuwa wananipa ban mfululizo nikiingia siasani tu ban nikawekea thred na ilichangiwa wasiifute nn
Ndo uwahi mkuuTeh teh Shunie leo wa kufungua Pm kirahisi hivi ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na mm niliwauliza tu kama hamtaki nifike siasani mniambie tu nijue sio kwa ban zile nikifunguliwa kesho nikiingia siasani ban tena
Hahahahaaa. Unataka kanyama?
Sisi ndo mama zenu bila sisi hakuna Yamakagashi...so inabidi upende tu hata kiunafikiKweli haibadiliki ila inauma sana
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hao ndo mods kama wana mafuta ya taa kichwani vile!
Kuna watu na watuwe bibi!
Niliingia siku moja nashangaa ban halafu sijuiNa mm niliwauliza tu kama hamtaki nifike siasani mniambie tu nijue sio kwa ban zile nikifunguliwa kesho nikiingia siasani ban tena
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa ajili yako tu jamani kingozi tu [emoji23][emoji85]
Daby yupo humu ni Masai pia muombe akusaidie ili hiyo research yako iwe imekamilikaKwa ajili yako tu jamani kingozi tu [emoji23][emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tena napataga shida haswaa...sema kwa kua siko nao vile karibu ndo najua mmojaUmeona eenh mm ile avatar ya Bob ndio ilikuwa inaniletea utofauti
Niliingia siku moja nashangaa ban halafu sijui
Bon ananiuliza dogo ban ya nini..!!!sijui kuingia browser eti nimemtukana lipumba[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]siingiii kule tenaa
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi watoto wa Tanga siwawezi ,sikujua na Shunie ni mtoto wa Kidigo ,hivyo Pm yake siendi ,ngoja nitest zali la WitnessNdo uwahi mkuu
Subirini ban ya Gire[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Anatuchora tu