Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Mm kuna siku nilichamba walikuwa wananipa ban mfululizo nikiingia siasani tu ban nikawekea thred na ilichangiwa wasiifute nn
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hao ndo mods kama wana mafuta ya taa kichwani vile!

Kuna watu na watuwe bibi!
 
Na mm niliwauliza tu kama hamtaki nifike siasani mniambie tu nijue sio kwa ban zile nikifunguliwa kesho nikiingia siasani ban tena
Niliingia siku moja nashangaa ban halafu sijui

Bon ananiuliza dogo ban ya nini..!!!sijui kuingia browser eti nimemtukana lipumba[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]siingiii kule tenaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umemtukana lipumba woiiii
Niliingia siku moja nashangaa ban halafu sijui

Bon ananiuliza dogo ban ya nini..!!!sijui kuingia browser eti nimemtukana lipumba[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]siingiii kule tenaa
 
Back
Top Bottom