Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Asee kweli kitambo, brother Mr Charles, a.k.a Mr C bado yupo? Hope Masai Camp,Aqua disco pale bus stand bado zipo, chimbo za kwa mama ...sakina kule km kawa ( long time vingine sikumbuki)Mawingu iliuzwa na inajengwa ghorofa na suda
Ebwana kuna bilionea alitajwa na Qchief "John Kaboko" vipi yupo Arusha huyo?Mawingu iliuzwa na inajengwa ghorofa na suda
Namjua kitambo istoshe mgodi aliokua anasimamia uko jirani na kazini kwanguNilivyoiona tu hii story ya Ibrah sijui kwanini nikakufikiria wewe, nikasema ikiletwa tu humu lazima utatuletea ukweli mzima.
Kwa story za Arusha sina shaka na wewe
Huyo atakua mzee wa poda sio jiwe,mana chilah yeye mzee wa podaEbwana kuna bilionea alitajwa na Qchief "John Kaboko" vipi yupo Arusha huyo?
Tangu mdogo nilikuwa na Ndoto kuishi kitajiri kama "John Kaboko"
Mjini umebadilika sana club za zamani hazipo tena kuna viwanja vipyaAsee kweli kitambo, brother Mr Charles, a.k.a Mr C bado yupo? Hope Masai Camp,Aqua disco pale bus stand bado zipo, chimbo za kwa mama ...sakina kule km kawa ( long time vingine sikumbuki)
😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Savimbi mzee wa ngada.Huyo atakua mzee wa poda sio jiwe,mana chilah yeye mzee wa poda
Da sijajua wamepigwa kwa kosa gani,walikuwa wanachangamsha sana uzi 😀😀😀😀,na imani wataachiwa tu soon.Hizo ban za shunie, witnessj na raynavero mbona sizielewi elewi
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Mods mda mwingine wanakua na matatizoHizo ban za shunie, witnessj na raynavero mbona sizielewi elewi
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Witness, Shunie na Rayna hata sijajua nini shida.Nani kapigwa ban na ninishida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chumbageni,Majani mapana kuna mwanamke kidogo anifanye zezeta kama sio mama yangu kwenda kulia na kusali kwenye madhabahu ya safina saa hii ningekuwa kama mdoli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani walikukosea sana masikini!!!nacheka sio kwa mazuri ila kwa hyo wanaume wenzako
Kwa hyo mzigua na shunie unawaona kama wasela yaaani[emoji3][emoji16][emoji23]
Poleee.[emoji23][emoji23][emoji23]Mjini kwenye utoto tu ,baada ya hapo tulirudi Arusha ndio tukaenda porini ,unakatwa bila ganzi wanawake wamekaa kwa mbali ukitingisha upaja tu ni disqualified ,ukifanikiwa kukaza mpaka mwisho wakina mama wanapiga vigelegele ,uanaume wangu nimeugharamia ndio maana nimesikitika kufananishwa na mwanamke .
Na mimi nimeshangaa kweli kweli sababu ya ban zaoWatu wanapewa ban leo kwa sababu ya thread ambazo zishafungwa na kufutwa
Ule uzi wa Gire ndo umesepa nao [emoji23][emoji23][emoji23]Witness, Shunie na Rayna hata sijajua nini shida.