Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Huyo dada nae baada ya video kuvuja amemwaga maharage yote!Mambo yalipokua safi mbona hakuyasema hayo?
Binadamu tuna uhaba mkubwa sana wa imani kwa muumba,mtu mwenye imani thabiti hawezi kukubali maisha hayo hata dakika moja
 
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani walikukosea sana masikini!!!nacheka sio kwa mazuri ila kwa hyo wanaume wenzako

Kwa hyo mzigua na shunie unawaona kama wasela yaaani[emoji3][emoji16][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mjini kwenye utoto tu ,baada ya hapo tulirudi Arusha ndio tukaenda porini ,unakatwa bila ganzi wanawake wamekaa kwa mbali ukitingisha upaja tu ni disqualified ,ukifanikiwa kukaza mpaka mwisho wakina mama wanapiga vigelegele ,uanaume wangu nimeugharamia ndio maana nimesikitika kufananishwa na mwanamke .
Poleee.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom