Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

hujawahi kukwama wewe................ila waganga wanafaidi sana.....yaani hapo amemchezea mrembo alafu na kuku amekula...yote hayo ni uzushi mtupu....

Nikikwama kimbilio haliwezi kuwa la Waganga mkuu
 
Haya mamb ni meng saana kuna mtu utajir wake kila baada ya mwezi anakufa na kuoza kabisa lkn hazikwi ikipita wiki anafufuka na kuwa mpya na pesaaa zinamiminika
Na wanadai baada ya maiti kuoza funza hata mmoja asitoke ndani ya kile chumba cha huyo mfu, hivyo kwa case hii lazima mke/ msiri wa muhusika ahusike kuhakikisha hilo linatimia. Hao funza ndio pesa zenyewe....Ikienda ndivyo sivyo ndo anakuwa kashindwa mtihani....

*******************************************
Tabu zote hizo za nini??? Unamiliki pesa lakini huna furaha wala amani nazo...
 
Duh aise vp hukwenda kuchungulia yaliyomo
 
Kitu siwezi fanya kwenyr maisha yangu ni kwenda kwa mganga sababu ya kupata utajiri....never....never....never....Maya God help me!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…