Khaaa mm niljua yameisha kwahiyo umenifata mpaka huku wakat mm kamasi mburaaaaaahWee nilishasema mimi humu JF nina ID mbil.
V.Putin
Bwana Xi.... Sasa niww tu ndo hukuwa unajua.
Ndio nmesema kamasi tena mikamasi .
Alafu muoga sana eeehhh mpaka unaogopa kutaja ID hahahaha
Sema Putin kwa Id ya Bwana Xi ,anatuita baadhi yetu "Makamasi" .. Rahis lkn unaogopa ogopa [emoji23]
Nmeona unaongea kwa woga wogaa tuu..sasa nimepita nikakukuta unanitaja.Khaaa mm niljua yameisha kwahiyo umenifata mpaka huku wakat mm kamasi mburaaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ulifurahi eenh shost
Umejishtukia tu rafikiNmeona unaongea kwa woga wogaa tuu..sasa nimepita nikakukuta unanitaja.
Huo ni woga na uzwazwa ....ndomaana sikosei kuita Kamasi ,vitunguu maji.
Naulivyo na kamasi kichwan unaona yameisha, alafu unakuja kunijadili kwingine?? Kiazi weee... Alafu unajadili kwa kuogopa?? .
Wew ndo unajishtukia nakua muoga oga...Umejishtukia tu rafiki
Gire si mtu mzuri hata,anatusemelea kwa mods.
nimekumiss sana update ya kesi ya kesi ya Msuya tafadhaliMkuu lini ulikua huko,kwenye madini watu wengi wenye imani hiyo wamefilisika kabisa mana pesa zote zinarudi kwa mganga
Tumerudi kaka yetu
Poleni sana,Welcome Back.Ahsante best nsharudii!kuna pugi mmoja hivi
Gire si mtu mzuri hata,anatusemelea kwa mods.
@twenty4seven update ya kesi bilionea Msuya siku mingi sijakusoma
Poleni sana,Welcome Back.
Mapugi yotee....!!!janaume linashangilia miye kupigwa ban!!
Shosti kala mpk pilau[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]kisa ban yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gubu kama ndugu wa mume
Mtoto wa kike huyu ataweza kukaa ma mawifi!
Watu mna maswali hatarishi nyie!Mh mtoto yupi huyo sasa aliyezaa na yule mama mweupe au yule aliyekufa
Hebu type ya dada yakeDuuh! Huyu dem kumbe na yeye ni mtu wa nguvu za Giza kama dada yake eeh?!
Wewe unaendaga hata asipoaminiNikisema siendagi au naendaga utaamini?
Nani huyo!? Watu mnajua mambo mengi humu!Hahaha..kama mmiliki Fulani wa bank Fulani...ana nyumba nzuri lakini hakai..na anapokaa analala. Chini..jamani
Kwani upo bara gani wewe!Mmiliki wa bank yenye neno La mwisho bara tulilopo
America kusiniKwani upa bara gani wewe!
Ulimuondoa Pepe bonge nyanya hakuamka...hii nimewahi isikia,..ni uchawi wa DRC