shirley myles
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 916
- 612
Kaka jambazi jibu swali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka jambazi jibu swali
Dunia kweli inazunguka lkn kuna watu huwa hawabadiliki.Yeah acha tu dunia hii
Kumbe kweli?Huyo mbugila tu hana chochote zaidi ya nyumba aishio,ila kweli mdogo wke alifariki kimazingara jamaa hakumwambia yeyote kuhusu msiba zaidi ya kumbeba kwenye gari na kumpeleka kwao tanga kumzija
Khaaaa wacha nimsitiri aiseee kwa hakika anapaswa awe amestaafuDunia kweli inazunguka lkn kuna watu huwa hawabadiliki.
Jmn kuna wanaume wanakujaga kuoa wanawake mangoro dahhh.
Ruth kaanzaga kuuza mbunye kitambo sana inapaswa awe amestaafu sasa..
Huyo Ruth ni mzuri sana?Dunia kweli inazunguka lkn kuna watu huwa hawabadiliki.
Jmn kuna wanaume wanakujaga kuoa wanawake mangoro dahhh.
Ruth kaanzaga kuuza mbunye kitambo sana inapaswa awe amestaafu sasa..
Hebu tajeni basi hayo majina...ubuyu uwe mtamu khaa!Huyo waligombana snap. Ila Sh..... ndo alomrecord mwenzie. Inaezekana Sh...sio karecord amatuma kwa Ruth halafu Ruth akairusha. Maana aliweka snap na mchambo
Mbona hiyo nyumba inaonekana ya kifahari? To compare na 50m?Mke wke b4 huyu alikimbia ushirikina wa jamaa baada ya kumtoa mdogo wke kafara,istoshe hata mafanikio yeyote ya maana hana zaidi ya nyumba mwanama ambayo haifiki hata 50m
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanawake bhana wanakuaga washamba kweli anavyojuta utadhan roho yake nyeupe kumbe shetan
Sure...kichambo cha bure bure bila sababu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Si unaona ungeendelea tu kusema
Inaonekana anapenda utajir sanaHajawahi kua na chochote cha maana zaidi ya nguo na utozi
Afu handsome[emoji8]Mambo yke yanazidi umri wke,istoshe unaloga unapata hela za kula na kuvaa sio maendeleo anapata,mdada aliona tozi smart akadata nae
Mmmmh kivepeWanawake engi/sio wote hawanaga akili vichwani mwao alafu uwezo wao wa kuona hatari ni mdogo sana.......
Kua na nyumba ya kuishi na gari 2 kwa kuloga kwa speed ya 4G ni ukichaa,kwa ushirikina wke wote angemiliki mali za kutosha,magari wanaapolo wanamiliki kwa wingi tena ya thamani kubwa,Mbona inaonekana ya kifahari?
Hahaa kama alishindwa kutoka kipindi kile U.N ni U.N kimaukweli, Range kuhongwa ni chaapu, U.S watu tunaenda kama tunashuka hapo Dar basi atulize mbunye tuu hakuna namna.Khaaaa wacha nimsitiri aiseee kwa hakika anapaswa awe amestaafu
Sio samiratha tu....ale bata na totoz zingine, maisha mafupi ila yy anakutanguliza fasta!Aiseee jamaa ana Roho Ngumu Sana,katoa kafara mdogo wake kisa ampe maisha Samiratha?
Anamiliki warehouse ya viwalo[emoji23]Ilikua long hata huyu dada walikua hawajuani na huyu,huyo ndio ibra madharau mzee wa ulonzi,heri angekua na maendeleo kwa kuloga ila yeye yuko busy kununua mitupio
Ili ionekane Sami mwanga or?Hapana nimepata habari aliyempa demu video airushe ni mume wa Samira huyo Ibra mwenyewe akampa Ruth
Mganga akubali umrekodi?
Ana title gani mjini?Irene Joshua Ndossy unaitwa huku.
unatutafuta tusiojulikana bibieKuna aliyembikiri mtoto wake ili nyota yake ing’ae na iling’aa kweli Afrika nzima lakini sasa inaanza kufifia. Ninadhani alikiuka masharti ya mganga amefanya vurugu nyingi mpaka kupora wake za watu.