Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Lowassa Na gengelake kupitia fuata Mkumbo wao wajitambue ikulu haendi mwizi
 
Tuambie Ameongopa au Amekosea Wapi? Kwani Siyo Kweli Kama Kila Mtu Mimi Na Wewe Ni MAITI WATARAJIWA? Kipi Kipya Hapo? Hivi Kwanini Nyie Watu Wa UKAWA Mnakuwa MAPOPOMA MLIOTUKUKA Hivi?

Wewe baba yako akiitwa maiti utaenjoy eeeh acha kuwa kibaka wa mawazo ww kutetea ujinga na ndio maana Mungu anawaondoa wale wote wanaomdhihaki lowasa kumuita marehemu yani. MUNGU HUWA HADHIAKIWI saba ww binti unayejifanya dokta kumbe nesi wa kibong, oto
 
Akipita mwkalebela iringa mimi najitoa jf hamtaniona tena keep my words. Huyo hapiti na asahau kabisa yaani angalia mikutano yake ana andomana na tutoto mpaka aibu alishatutukana wana iringa huyo
 
Atangulie kwanza kumpeleka jela yule aliyezisomba zile bilioni 73 za Escrow, zilizosombwa katika magunia ya lumbesa pale Stanbic kama kweli yeye Nape na mwenzake Magufuli wana ubavu wa kuwafunga mafisadi kama ambavyo wanavyotamba.
 
99% !!!!!!!!!! nyie vichaa kwelikweli hata 30% sijui ka mtapata lowassaaa anatosha
 

Lowasa kuwa Rais nikuota
 
Yeye ndio mmiliki wa ikulu siku hizi?
Yaani magamba kweli wamechanganyikiwa, kauli zao zinathibitisha kuweweseka kwao.

Bulembo alitamka kuwa wao Sisiem wanaweza kuruhusu wapinzani kupata madiwani na wabunge lakini hawawezi kukubali Mpinzani awe Rais!

Huyo Nape naye anadiriki kuropoka kuwa hawatamruhisu EL kwa kuwa ni mwizi.

Hivi tumuulize Nape hivi katika nchi hii kuna wizi uliotia fora kama ule uliofanyika pale Stanbic ziliposombwa zile bilioni 73 kwenye masandarusi na kupakiwa kwenye malori?

Sasa tumuulize huyo Nape ni kwa nini serikali yake ya CCM haijampeleka jela 'mwizi' huyo mkubwa hadi leo?
 
Huyu kijana Nape ni mpumbavu sana yeye anafikiri matusi yataongeza kura? Anajidanganya.
 
Chonde chonde Nape nakusihi kaka,hata wewe una wazazi na una wakubwa wako,siasa za namna hii zinapitiliza na zinatia kinyaa,usimwite mwenzio maiti kisa tu unatetea ugali wako,hivi watoto wa EL ambao kiuhalisia mnalingana umri unafikiri wanajisikiaje unapomtukana baba yao hivyo?ukikutana nao barabarani mnatazamanaje?kuna maisha baada ya tarehe 25.
Ajuaye bwana mungu kwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama.
 

Mm nitamchagua magufuli
 

Maneno Mujarabu..CC MwanaDiwani
CC Nape Nnauye
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…