Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Maneno huumba, ngoja Mungu amhesabie siku. Mwingine mwenye kauli kama hizo wamemuaga leo lakini EL bado yupo anawapelekesha. Sijuwi Nape anakichwa gani asiweze kujifunza.

Nape kalewa Sifa za kijinga yeye mda wote huwa yupo busy kumfurahisha Membe boss wake ambaye ni Adui namba moja wa Lowasa, nape na membe kila siku huwa wanatamani Lowasa Afariki ili wapumune, lakini kwa kuwa huu ni mda wa Mabadiliko na mungu Kaaamua hata waje na Dua gani wataishia kuwa Dua la kuku halimpati mwewe.
 
Kuna cku nliandika hapa kuhusu huyu mtoto[Nape],sijui mzee Nnauye ndo alimlea hivo?Yaani hana adabu kabisa, tafadhali kama haingii humu JF wenzake wamweleze anavyosemwa na haijalishi chama ila lazima tudumishe utamaduni wa waafrika kuwa na adabu na heshma kwa waliotuzidi umri, mzee wa kaya yu wapi? Hawezi dhibiti kijana wake yaani Katibu mwenezi wa chama chake?Huyu mtoto kazidi,naona badala ya kujenga chama anakibomoa.Kazi kwako Mwenyekiti wa chama[mkuu wa kaya].
 
Nepi ni mpuuzi sana, hata ameshindwa kujua kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi! Sijui kama ameshaandaa pa kujificha

Membe kamnunulia nyumba Dubai yeye na makonda kwa kutumia yale mabilion ya marehemu Gadafi anajua kuwa Siku Lowasa akitangazwa kuwa Rais lazima ataona Aibu sana ingawa Lowasa hana Visasi.
 
Nape ajifunze kwa celina Kombani na Komba dhidi ya Warioba. Msije mkashangaa Nape anakufa kabla ya Lowasa, Kifo ni kifo hata kama ni ajali, Cha muhimu kujua ni kwamba hesabu za maisha ya binadamu ziko mikononi mwa Mungu.
Hapana tumuombee aishi maisha marefu aje kujifunza kwa Lowassa anavyongoza nchi kwa ustaarabu.
 
Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Iringa mjini kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika katika uwanja wa Samora.
Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakati wa mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Samora mkoani Iringa ambapo aliwaeleza wananchi wa hapo kuwa ana historia na mkoa huo kwani alisoma hapo na alishafanya mazoezi ya kufundishia hapo hivyo atahakikisha mkoa huo unakuwa vizuri kimaendeleo.
Sehemu ya Umati wa wakazi wa Iringa mjini waliofurika kumsikiliza Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi mji wa Iringa kwenye mkutano wa kumnadi Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli uliofanyika kwenye uwanja wa Samora.
Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akimtambulisha na mfanyabiashara wa Iringa Salim Abri Asas ambaye ametoa ajira kwa vijana zaidi ya 400 kwenye viwanda vyake .
Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi ilani ya uchaguzi mgombea ubunge wa jimbo la Iringa mjini kupitia CCM Frederick Mwakalebela .
Mgombea ubunge wa jimbo la Iringa mjini kupitia CCM Frederick Mwakalebela akiwahutubia wakazi wa mji huo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Samora.

Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akimuombea kura mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini.
JB akiongea kwa niaba ya Wasanii wenzake wa Filamu za Kibongo wanaowakilisha Team Bajaj ambao wao pia wanamuumnga mkono Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli.
Wasanii wa Fialamu za Kibongo wakipiga push up pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye (mwenye fulana ya kijani.
Wasanii wakionyesha upendo wao kwa Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli
Khadija Kopa akishambulia jukwaa pamoja na wanamuziki wengine wa bendi ya TOT.
Msami akionyesha uwezo wa kuimba na kucheza kwenye mkutano wa kumnadi Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli
Temba pamoja na Chegge wakishambulia jukwaa pamoja na Ally Yanga (katikati) kwenye mkutano wa kumnadi Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli
Viongozi wa CCM mkoa wa Iringa wakicheza nyimbo ya CCM mbele kwa mbele


Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Ndugu William Lukuvi akihutubia wakazi wa Iringa mjini wakati wa mkutano wa kumnadi Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli


Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. John Pombe Magufuli akiondoka uwanjani mara baada ya kumaliza kuhutubia.
 
futa machozi kaka lowassa ndo raise na nape aanze kabisa kutafuta nchi ya kuishi au at a way replace babu seya sege dansi

Yaan mwenyewe hujiulizaga.. . Ikatokea Edo akashinda... Nape ataishi wapi?
 
mbeya wakiendelea kupiga kelele ule uwanja wa ndege tuubebe tuuamishie tabora maana hawana shukrani
 
Kujaza watu siyo sibitisho la ushindi
Watu wanafika kukusikiliza unachosema.
 
mbeya wakiendelea kupiga kelele ule uwanja wa ndege tuubebe tuuamishie tabora maana hawana shukrani

Wale wapiga kelele ni watumiaji wa bia za makaratasi hata hawajajiandikisha kupiga kura.
 
M kwa dharau zao ndio zitasababsha nipige kura ya hasira UKAWA naenda eneo la tukio sa 2 usku hyo itakuwa tar 24 ntakuwa najikumbusha matukio yaliyowah kutokea kwa sababu ya CCM then ntalia ucku kucha na sa 9 tayar ntakuwa kwenye mstar

Ukapimwe akili.
 
Membe kamnunulia nyumba Dubai yeye na makonda kwa kutumia yale mabilion ya marehemu Gadafi anajua kuwa Siku Lowasa akitangazwa kuwa Rais lazima ataona Aibu sana ingawa Lowasa hana Visasi.

Acheni kuleta vitu msivyovijua.
 
Hao watu wa Iringa wameyasema hayo wapi na ni watu wangapi?

Usipumbazwe na wingi wa wahudhuria mikutano...

Hebu wamwambie Magufuli atangaze kuwa kesho ninamkutano mahali Fulani ila hakuta kuwa na burudani wala Lori halitaruhusiwa eneo la tukio halafu aone nini kitampata. Hawa wakina chin wanamzuga sana mzee wa Phd
 
Kwa ambao hawajabahatika kumfahamu Nape Nnauye, ni huyu hapa akiwagawia kanga na vitenge wanaume huko CCM!

kanga-CCM.jpg
 
Malipo ni hapahapa tunakofanyia kiburi sababu ya pumzi hii tuliyopewa....Mungu na ampe adhabu kali ya kulala kitandani kama maiti ilhali bado yuko hai....Amina!

Shosti uko busy na ukawa, Kimkakati au mahaba tu?
 
Hapa maana yake kila Mtanzania aliye na ugonjwa wowote Nape amemwita maiti.. Pia kama mtu ana ndugu yake mgonjwa Nape kisha muita maiti.
Huyu ni kiongozi wa chama tawala kinachotaka kura kubaki madarakani toka kwa maiti wapiga kura.
Tumekusikia Nape, maiti watajua wafanye nini 25/10
 
Back
Top Bottom