Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Viva magufuli na mwakalebara,mafisadi wsnachanganyikiwa,
 
ASILIMIA 99,CM.....

Dr John Magufuli leo amewahidi na kuwataka wananchi wa iringa kuwa atatekeleza ahadi zake na hivyo kuwataka wamchague.Magufuli amesema safari hii ushindi utakuwawa sunami kwa asilimia 99!

Miaka 50+ ya ahadi, mnajidanganya sana.
Kuna mjinga mmoja alileta slogan yake ya maisha bora kwa kila mtz sijui yako wapi hayo maisha.

Kajidanganyeni huko huko CCM
 
Miye nilikuwepo uwanjan samola sijaona umakin Wa magufuli maana anazungumzia is hu ya national milling atairudisha na kuifufua hapo hapo anamshika mfanya biashara maarufu hapa mjin kwamba n msafi wakat madudu yake tunayajua na Hawa ndio wamegeuza national miling kuwa store ya bidhaaa zao aende zake huko kura yangu n siri
 
Aya bhana
 

Attachments

  • 1443467785418.jpg
    1443467785418.jpg
    12.1 KB · Views: 242
Maneno huumba, ngoja Mungu amhesabie siku. Mwingine mwenye kauli kama hizo wamemuaga leo lakini EL bado yupo anawapelekesha. Sijuwi Nape anakichwa gani asiweze kujifunza.
 
Magufuli rais wa awamu ya tano,mungu tu pamoja na wewe iringa umeyafanya mengi tunayakumbuka viva magufuli
 
Vuvuzela ana mkataba Na Mungu yeye hataumwa wala kuwa MAITI ajue Muhimbili inamsubiri hasta India hafiki Naipe Mdomo Umeumbwa

Siku pesa za Gadafi zikiwaishia kisha membe akamkimbia kumnunulia kura huko jimboni kwake ndipo pressure itampanda na kuishia kuwa mgeni wa Muhimbili hapo Akli zitamrejea vizuri.
 
Nepi ni mpuuzi sana, hata ameshindwa kujua kuwa kuna maisha baada ya uchaguzi! Sijui kama ameshaandaa pa kujificha
 
Back
Top Bottom