Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

1. Magufuli aahidi kujenga barabara ya uwanja wa ndege wa Iringa na kuimarisha mifuko ya uwezeshaji ya wanawake na vijana.

2. Magufuli apania kupunguza ushuru kwa wananchi wa kawaida ili kukuza uchumi wa mtu binafsi kasha uchumi wan chi nzima.



12074864_893690027379560_800294550710482712_n.jpg


12049567_893690054046224_3844268741931817061_n.jpg


12038355_893690087379554_1804902182348431199_n.jpg


12038191_893690144046215_984207752500909091_n.jpg


12046641_893690164046213_6329644513760825455_n.jpg


12032133_893690194046210_6485283949180234099_n.jpg


12047200_893690274046202_7358172045992411990_n.jpg


Wakazi wa Iringa Mjini wakimsikiliza Mheshimiwa Magufuli katika Mtuno wa kutafuta kura za Urais.

MAGUFULI HAKAMATIKI : KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA INAONYESHA MAGUFULI ANAZIDI KUNG'ARA KILA KONA YA NCHI YETU NI BAADA YA WATU KUPIMA SERA ZAKE NA ZA WENGINE NA KUGUNDUA KUWA SERA ZAKE ZINATEKEREZEKA NA ZA WENGINE HAZITEKEREZEKI BALI WANAZITUMIA KUWALAGHAI WANANCHI ILI WAINGIE IKULU TU : TUMESHTUKA HAPA NI KAZI TU

Endelea kujitekenya tu....
 
...endeleeni kujiliwaza, ile ngome yenu kongwe leo imevurugwa vibaya sana eroo watu wanataka mabadiliko tu,no more kelele..
 
Tuambie Ameongopa au Amekosea Wapi? Kwani Siyo Kweli Kama Kila Mtu Mimi Na Wewe Ni MAITI WATARAJIWA? Kipi Kipya Hapo? Hivi Kwanini Nyie Watu Wa UKAWA Mnakuwa MAPOPOMA MLIOTUKUKA Hivi?

 
Last edited by a moderator:
ccm msijidanganye mwaka huu hamtoki mmeona Tanga leo au hamjaona,lowasa ni tishio kubwa kwa kuwa kura nyingi atazipata kutoka ccm pia
 
Hao watu wa Iringa wameyasema hayo wapi na ni watu wangapi?

Usipumbazwe na wingi wa wahudhuria mikutano...
 
Tuambie Ameongopa au Amekosea Wapi? Kwani Siyo Kweli Kama Kila Mtu Mimi Na Wewe Ni MAITI WATARAJIWA? Kipi Kipya Hapo? Hivi Kwanini Nyie Watu Wa UKAWA Mnakuwa MAPOPOMA MLIOTUKUKA Hivi?

wewe ni popoma uliyelaaniwa kama wote ni maiti watarajiwa uhalali wa kumuita maiti mwenzie kaupata wapi?
 
1. Magufuli aahidi kujenga barabara ya uwanja wa ndege wa Iringa na kuimarisha mifuko ya uwezeshaji ya wanawake na vijana.

2. Magufuli apania kupunguza ushuru kwa wananchi wa kawaida ili kukuza uchumi wa mtu binafsi kasha uchumi wan chi nzima.



12074864_893690027379560_800294550710482712_n.jpg


12049567_893690054046224_3844268741931817061_n.jpg


12038355_893690087379554_1804902182348431199_n.jpg


12038191_893690144046215_984207752500909091_n.jpg


12046641_893690164046213_6329644513760825455_n.jpg


12032133_893690194046210_6485283949180234099_n.jpg


12047200_893690274046202_7358172045992411990_n.jpg


Wakazi wa Iringa Mjini wakimsikiliza Mheshimiwa Magufuli katika Mtuno wa kutafuta kura za Urais.

MAGUFULI HAKAMATIKI : KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA INAONYESHA MAGUFULI ANAZIDI KUNG'ARA KILA KONA YA NCHI YETU NI BAADA YA WATU KUPIMA SERA ZAKE NA ZA WENGINE NA KUGUNDUA KUWA SERA ZAKE ZINATEKEREZEKA NA ZA WENGINE HAZITEKEREZEKI BALI WANAZITUMIA KUWALAGHAI WANANCHI ILI WAINGIE IKULU TU : TUMESHTUKA HAPA NI KAZI TU

Siyo Magufuli anayeng'ara ni wasanii wanafuatwa hapo. Kama una akili utatambua hilo. Mwaka huu bao la mkono halipo
 
Safi sana...hata wana Arusha tumemsubiri kwa hamu tumpe baraka zetu.

Viva Magufuli vivaaaa...

Anakonga sana roho za watu ..tunataka wachapa kazi kama yeye alivyo
 
1. Magufuli aahidi kujenga barabara ya uwanja wa ndege wa Iringa na kuimarisha mifuko ya uwezeshaji ya wanawake na vijana.

2. Magufuli apania kupunguza ushuru kwa wananchi wa kawaida ili kukuza uchumi wa mtu binafsi kasha uchumi wan chi nzima.



12074864_893690027379560_800294550710482712_n.jpg


12049567_893690054046224_3844268741931817061_n.jpg


12038355_893690087379554_1804902182348431199_n.jpg


12038191_893690144046215_984207752500909091_n.jpg


12046641_893690164046213_6329644513760825455_n.jpg


12032133_893690194046210_6485283949180234099_n.jpg


12047200_893690274046202_7358172045992411990_n.jpg


Wakazi wa Iringa Mjini wakimsikiliza Mheshimiwa Magufuli katika Mtuno wa kutafuta kura za Urais.

MAGUFULI HAKAMATIKI : KATIKA HALI ISIYO YA KAWAIDA INAONYESHA MAGUFULI ANAZIDI KUNG'ARA KILA KONA YA NCHI YETU NI BAADA YA WATU KUPIMA SERA ZAKE NA ZA WENGINE NA KUGUNDUA KUWA SERA ZAKE ZINATEKEREZEKA NA ZA WENGINE HAZITEKEREZEKI BALI WANAZITUMIA KUWALAGHAI WANANCHI ILI WAINGIE IKULU TU : TUMESHTUKA HAPA NI KAZI TU
Fiesta continues...
 
Anasema Lowassa ni Mwizi, kila kitengo alichopewa aliiba, kuanzia Kwenye chama, wizarani Hadi alipokuwa waziri mkuu Lowassa ni Mwizi asilia.

Anasema yeye ndio kiboko ya Lowasa na Lowassa anamfaham vizuri tu.!

Kweli Nape kiazi mbatata yaani mtu aibe Wizara zote, mmemwacha hadi kupanda cheo kuwa waziri mkuu? Ina maana basi ndani ya CCM wizi ni sifa ya kupandishwa cheo? Ndio maana tunataka watoke madarakani. Yaani nimemsikia leo Nape anatia huruma ukiambiwa ni katibu mwenezi wa pumba ndani ya chama.
 
Mtaongea sana lakini rais ni lowassa na ukienda sehemu yoyote ile ukiwakuta hata watu kumi ukipiga kura haraka utaona mshindi ni lowassa.
 
Back
Top Bottom