Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio vizuri kumuita mwanadamu mwenzio maiti
wakati ni mzima et kwasababu ya siasa ndio ipelekee maneno hayo.nijambo baya mimi imeniuma sana.
Anasema Lowassa ni Mwizi, kila kitengo alichopewa aliiba, kuanzia Kwenye chama, wizarani Hadi alipokuwa waziri mkuu Lowassa ni Mwizi asilia.
Anasema yeye ndio kiboko ya Lowasa na Lowassa anamfaham vizuri tu.!
Kwa hiyo walivyoona anaiba wakampandisha vyeo hadi uwaziri mkuu??? Shenz kabisa
Nape kasema lkulu hakuna word ya wagonjwa!ndo kusema kura za wagonjwa hazitaki?
Anasema Lowassa ni Mwizi, kila kitengo alichopewa aliiba, kuanzia Kwenye chama, wizarani Hadi alipokuwa waziri mkuu Lowassa ni Mwizi asilia.
Anasema yeye ndio kiboko ya Lowasa na Lowassa anamfaham vizuri tu.!