Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
futa machozi kaka lowassa ndo raise na nape aanze kabisa kutafuta nchi ya kuishi au at a way replace babu seya sege dansiAiseee,jaman baada ya uchaguz kuna maisha wadau....kwani Lowassa anaumwa nini???maana tunaambiwa anaumwa anaumwa,anaumwa anaumwa.Edo anaumwa nini????
hawa jamaa wajinga sana.yaani kajikita kumponda tuu lowasa anafkiri atatubadilisha.tushachukua maamuzi tayari asubri kunyongwa tuu
wamshitaki na wamfunge ndio dawa, sasa kubwabwaja ni kujishushia hadhi yao, mshamkamata fungeni, mnaogopa nini
Anasema Lowassa ni Mwizi, kila kitengo alichopewa aliiba, kuanzia Kwenye chama, wizarani Hadi alipokuwa waziri mkuu Lowassa ni Mwizi asilia.
Anasema yeye ndio kiboko ya Lowasa na Lowassa anamfaham vizuri tu.!
Rais wetu wa Tano TanzaniaSafi sana...hata wana Arusha tumemsubiri kwa hamu tumpe baraka zetu.
Viva Magufuli vivaaaa...
Kijana usipanikiKuna watu wana roho ngumu kama roho ya Paka. Bado tu hamuamini kwamba Watanzania wana kwenda kwenye mikutano ya CCM kumuaga Magufuli na chama chake.
Pokeeni salaam kutoka Tanga!!ASILIMIA 99,CM.....
Dr John Magufuli leo amewahidi na kuwataka wananchi wa iringa kuwa atatekeleza ahadi zake na hivyo kuwataka wamchague.Magufuli amesema safari hii ushindi utakuwawa sunami kwa asilimia 99!
Tumsamehe na kumuombea Mungu amhurumie ampe upeo.tusimuombee mabaya hatuta kua natofauti na yeye Mungu atakutana nae kwa namna yake.Tumpende tu.Malipo ni hapahapa tunakofanyia kiburi sababu ya pumzi hii tuliyopewa....Mungu na ampe adhabu kali ya kulala kitandani kama maiti ilhali bado yuko hai....Amina!
Rais wetu wa Tano Tanzania