Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Elections 2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

Nape Nnauye atakufa kifo cha ajabu, maneno ya leo yamezidi kubomoa chama hayajengi.
 
Mimi nimeshangaa sana kama kweli tuna watu wanataka kuwa viongozi, vinywa vimejaa matusi, kwa saa nzima badala kueleza sera, ni matusi tu? Sidhani kama hawa watu wanaamini Mungu yupo. Mungu aliyewapa afya, nguvu na uzima kutukana matusi tu kila iitwapo leo? Watu wengine wapo hoi hospital hata kuongea hawawezi wanatamani pumzi,afya na uhai kwa ajili ya kumtukuza na kumuabudu Mungu tu? Yaani Mungu ni mjinga kuwapa watu pumzi ili watukane tu wenzao? Mbona watu wanakiburi hivi? Mbona wanaijifanya wao ni Mungu? Haya sisi tunamwachia Mungu mwenyewe awaadabishe. Vita vyetu sisi sio juu ya damu na nyama, ila ni katika roho.

Hawa ndio waliosema moyoni mwao kwamba "hakuna Mungu."

ZAB.‬ -14:1‬ “Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.”

Kiburi cha uzima!! Kiburi kinaua!!
--
 
Sio vizuri kumuita mwanadamu mwenzio maiti
wakati ni mzima et kwasababu ya siasa ndio ipelekee maneno hayo.nijambo baya mimi imeniuma sana.

Tuambie Ameongopa au Amekosea Wapi? Kwani Siyo Kweli Kama Kila Mtu Mimi Na Wewe Ni MAITI WATARAJIWA? Kipi Kipya Hapo? Hivi Kwanini Nyie Watu Wa UKAWA Mnakuwa MAPOPOMA MLIOTUKUKA Hivi?
 
God will punish him, Nape ndo amaesababisha ccm imechukiwa na vijana wote coz ya pumba zake

Hilo alilolisema kama media zitaripot as it is kuna uwezekano kwa CCM kupunguza kura kadhaa,,,,,,kisa kumuita mtu MAITI,maana watambue kuwa hata wapiga kura pia nao wanaumwa,,,,,,
 
Tuambie Ameongopa au Amekosea Wapi? Kwani Siyo Kweli Kama Kila Mtu Mimi Na Wewe Ni MAITI WATARAJIWA? Kipi Kipya Hapo? Hivi Kwanini Nyie Watu Wa UKAWA Mnakuwa MAPOPOMA MLIOTUKUKA Hivi?

hili halina uukawa au uccm,kumwita binadam mwenzio si vizur hata wewe hapa unajifaragua tu ila hili jina lina ukakasi kulitamka na kulisikia na hutapenda kuitwa MAITI......acha porojo zako hapa....muhimu kunadi sera ndo demokrasia hiyo,
 
Wasalaam Wakuu.
Nape wa ccj alikua mjenga hoja mzuri na alikua mtu wa mipango mizito ya ccj ndani ya vikao ni point chache alizitoa na zisipite Nape wa leo ni mtu wa matusi japo magufuli anawaeleza hapendi matusi lakini hawamwelewi na hii inadhihirisha uelewa mdogo wa mtu kama Nape.
 
Sio vizuri kumuita mwanadamu mwenzio maiti
wakati ni mzima et kwasababu ya siasa ndio ipelekee maneno hayo.nijambo baya mimi imeniuma sana.
Mm nakwambia hyo nape ni jamii ya akina martin kadinda simlaumu na jeuri hiii anapewa na hao wakwere wakatika mauno wasiokuwa na mbele
 
WATAISOMA NAMBA:

Mgombea urais kupitia CCM Dr John Magufuli amewataka wanainch wa iringa leo wamchague kwa kura nyingi ifikapo tar 25/10 ili wale wapinzani wake waisome namba,magufuli amesema kuwa umati mkubwa uliokuja kumsikiliza unamuelewa na safari hii wataisoma namba kisawa sawa!!

Huyu ndo kura yangu mimi na familia yangu ya watu 12
 
Hatari jamaa hawataramba kitu viva magufuli,,nimekuamini kwa sera zako nitakuchagua October 25 #hapa kazi tu
 
ASILIMIA 99,CM.....

Dr John Magufuli leo amewahidi na kuwataka wananchi wa iringa kuwa atatekeleza ahadi zake na hivyo kuwataka wamchague.Magufuli amesema safari hii ushindi utakuwawa sunami kwa asilimia 99!

Huyu ndo kura yangu mimi na familia yangu ya watu 12
 
WATAISOMA NAMBA:

Mgombea urais kupitia CCM Dr John Magufuli amewataka wanainch wa iringa leo wamchague kwa kura nyingi ifikapo tar 25/10 ili wale wapinzani wake waisome namba,magufuli amesema kuwa umati mkubwa uliokuja kumsikiliza unamuelewa na safari hii wataisoma namba kisawa sawa!!

Magufuli ni rais wetu
 
Haya, Mungu ametupa wote kinywa, ili tufanyike baraka kwa ajili ya wengine, Mungu hakutupa nguvu, afya na uzima kwa ajili ya kutukana wengine na kuwadhalilisha watu wengine. Je wale walio hoi vitandani wasingependa kuwa na nguvu na afya angalau kwa ajili ya kusifu tu na kumtukuza Mungu? Wale wenye kansa ya midomo hata kunena hawawezi ina hao wanadhambi sana? Hivi Mungu ni wa kuchezea kiasi hichi? Mungu ni mjinga kuwapa binadamu afya? Kwanini mnamdhihaki aliyewaumba? Hivi hamjui kuwa nyinyi ni udongo tu? Nani aijuae kesho yake? Je mna mkataba na Mungu? Kwanini mnakuwa na kiburi namna hii? Kwanini mnatukana na kumdharau aliyewaumba? Mungu mwenyewe ashughulike na nyinyi, sisi hatuna uwezo huo, Ila Mungu atawadhibitishia kuwa yeye yu juu ya yote, Mungu anaweza kumshusha na kumapandisha mtu, Mungu kamwe hapendezwi na wenye viburi. Mungu anawadharau sana wenye kiburi namna hii, sisi tutalia mbele za Mungu ili yeye mwenyewe awacharaze viboko na kuwashusha, vita vyetu sisi ni katika roho, na siyo katika mwili.
 
Kweli wewe antbios, kuna mtu anaitwa maiti mtalajiwa? Yaani unakuja na slogan za kipuuzi ili kuwapoza watu, wakati ndio unatuongezea hasira. Nyang'au wewe, mimi nakuambia hasira za Mungu zimshukie Nape.
 
Magufuli anaeleweka hakika sera zake baada ya October hamtajuta kumchagua magufuli
 
ASILIMIA 99,CM.....

Dr John Magufuli leo amewahidi na kuwataka wananchi wa iringa kuwa atatekeleza ahadi zake na hivyo kuwataka wamchague.Magufuli amesema safari hii ushindi utakuwawa sunami kwa asilimia 99!

Ushindi ni zaidi ya 99%
 
Magufuri anaitendea haki ilani yake tuseme ukweli, amejitahidi kunadi sera zake na kuzifafanua pia tena kwa kueleweka na kwa msisitizo mkubwa ..kura yangu na familia yangu zooote kwa mzee wa kazi! ni mwendo wa 99%
 
Anasema Lowassa ni Mwizi, kila kitengo alichopewa aliiba, kuanzia Kwenye chama, wizarani Hadi alipokuwa waziri mkuu Lowassa ni Mwizi asilia.

Anasema yeye ndio kiboko ya Lowasa na Lowassa anamfaham vizuri tu.!

.
wadau nimefanikiwa kuiona picha ya pamoja ya mzee Mnauye na familia yake Nape hayupo. Hii imekaa je wanajamvi? kajamaa kame-adoptiwa?
.
 
.
wadau nimefanikiwa kuiona picha ya pamoja ya mzee Mnauye na familia yake Nape hayupo. Hii imekaa je wanajamvi? kajamaa kame-adoptiwa?
.
Iweke hapa, maana huu ndio muda wa siasa chafu.!
 
Mgombea huyu amekata tamaa sana. Kuisoma namba ndo nini!
 
NAPE acha utoto wewe ndio ulikuwa una MPA kila kitengo tunajua hasira uliyonayo
 
Back
Top Bottom