Elections 2010 Kutoka kampeni za mwisho za CCM Jangwani

Elections 2010 Kutoka kampeni za mwisho za CCM Jangwani

kapige kura Mangi uongeze ruzuku ya NGO ya home bana (Chaga Development Manifesto)
Naam nami nakutakia kila kheri katika uchaguzi wa chama cha mafisadi. Mungu awape nguvu ua kuvumila yote.
 
Sasa mwinyi naona adesa hotuba yake baada ya mgombea mwenza kubabaja maneno yake. Naona anamuogopa sana kikwete maana Bilali anababaika kutaja jina la kikwete anamuita kuwa ni " Mtukufu" na kuigeuza hadhara iliyoko kama ni ya zanzibar anaga kwa kusema mapinduzi utafikiri anapandisha morali ili watu wafanye mapinduzi ya kura zetu kesho.
mwaka huu, CCm hawapenyi kokote.
DK.Slaa ndiye Rais wetu
 
Live TBC 1 na ITV yaani rais mstaaf anamfagilia JK, lakini inaonekana kama kaandaliwa maana anasoma
 
Mwinyi anamfagilia Jk, ila anasoma, inaonekana kama huo ujumbe kaandaliwa maana anausoma!!!!!!!!,
 
Warioba na Mkapa watakuwa wamebembelezwa na kupigiwa magoti mpaka kufika pale. At least wamefikisha ujumbe wao kwa kukaa kimya na kujitenga na JK ili atakaposhindwa kwa kishindo, iwe aibu yake yeye, Salma na Ridhiwan.

Nimeongea na bibi yangu mida tu, ataipigia kura CHADEMA kesho -kwa mara ya kwanza kabisa!!
 
Naona mzee mwinyi anashusha heshima yake, anatudanganya kikwete katimiza 95% ya ahadi zake
 
jamani watanzania tuwe wakweli na waungwana, tuchunguze mambo, huyu slaa alitangaza kugombea ubunge jimboni kwake gafla uvumi ukaja kuwa wazee wa chadema wamemuomba agombee urais, akasita alipofuatwa kuzungumzia hili likini kwa busara zake akakubali, tazameni jamani tanzania kunasyndicate ya kumalizana kisiasa(walimpamu mrema akalivaa, sasa kwishney, wakamjaza ujinga mbowe naye kwishney karudi alipopakimbia mavumbini, sasa slaa nae ameingia mtego huu mh nahisi kumpoteza mbunge wangu jamani)
halafu hizi sera za kubadilisha mfumo wa migodi kuwa ya watamzania kwa chadema ikiwa madarakani hili mimi cdanganyiki coz the whole truth naujua hawawezi, kwa sababu zifuatazo
1 mfadhili mmojawapo wa chadema ambeye pia ni mmiliki wa ma media kibao bongo anamplace mererani
2 Chadema infadhiliwa na conservative party, chama cha kwa mama ,na barrick ndiyo yenye migodi mingi hapa nchini jiulizeni itawezekana
 
Warioba na Mkapa watakuwa wamebembelezwa na kupigiwa magoti mpaka kufika pale. At least wamefikisha ujumbe wao kwa kukaa kimya na kujitenga na JK ili atakaposhindwa kwa kishindo, iwe aibu yake yeye, Salma na Ridhiwan.

Nimeongea na bibi yangu mida tu, ataipigia kura CHADEMA kesho -kwa mara ya kwanza kabisa!!

poa mkuuu
 
Naona anamwongelea Wiston Church Hill ati tumpe kura JK amalize kazi.
Kura my foot
 
Naona mzee mwinyi anashusha heshima yake, anatudanganya kikwete katimiza 95% ya ahadi zake

kuna mtu aliyetofauti na mawazo ya kimangi ya CHADEMA ambaye kwenu anaheshima? tunawajua na adhabu yenu ni moja tu kesho kumnyima kura kila kima anayegombea kwa tiketi ya CHADEMA na jumanne kuja kuwacheka humu jamvini
 
Mgombea mwenza msomi amehitimisha kwa kujiamini kuwa sasa yupo tayari kuchukua kazi kumsaidia rais, natamani kauli kama hii ingekuwa inatoka kwa std seveni nione konfidensi yake.

Nakusikitikia sana Burn, eti mgombea mwenza, nani anataka kuongozwa na mzee ambaye anahesabu siku zake za kufa?

Ina maana haujajua kwa nini Mkuu wenu wa Usalama wa chama shekhe yahaya kwanini amesema kuwa uchaguzi utasimamishwa? ni kwakuwa katika mkutano huu huu, huyo kikongwe wenu mnayemuita mgombea mwenza atapoteza *****, na hivyo uchaguzi kuahirishwa, au haumuamini Mkuu wenu wa Usalama tena?

Inasikitisha kuona kijana mdogooo ambaye bado unanuka maziwa unaanza kushabikia kikongwe asiye na sera, yupo kama picha ilibandikwa ukutani, anaomba tu apite ili aweze kumaliza maisha yake yaliyobakia duniani kwa amani, na kuzikwa ka heshima ya taifa, kwani anajua hilo litatokea tu in no time.

MEANTIME, TUNASUBIRI DR. WA KUPEWA JAKAYA MRISHO KIKWETE ATAKAPOSIMAMA NA KUANZA KUONGEA AANGUKE TU NA KUONGEZA IDADI YAKE ALIZOANGUKA JANGWANI. Unajua kwanini Kikwete anaanguka Jangwani each time akienda? Ni kwakuwa Jangwani ni eneo ambalo watumishio wa Mungu wengu hufanya mikutano yao na kuitia jina Kuu lipitalo majina yote hapo, hivyo huyu mgombea wenu anayetegemea kuongozwa na majini akienda pale anazidiwa nguvu na Mungu aliyehai, na ni lazima ATAANGUKA.

stay tune kumuona anapoanguka leo, nimemtuma mtu akae karibu pale ili arekodi tukio nzima, ambalo nitarekodi na kuuza kwenye CD nchi nzima, I will not miss a chance safari hii.
 
Bibi yangu anatembelea Magongo,lakini alikua CCM damu,amehamia rasmi chadema na atapiga kura kwa slaa.
Wakuu nilikutana na malori na macosta kadhaa hapo maeneo ya Afrikana yamejaa hao wana ccm kupeleka jangwani.
 
Si walisema Mwinyi amezira, leo katoka wapi tena?originally posted by jenifa

Katoka kuzimu!karudi duniani bila hodi kama wewe ulivyoingia nyumbani kwa watu bila hodi!!!!!
 
leo lazima mtu a-colapse tena pale stejini!!!
 
Back
Top Bottom