Mgombea mwenza msomi amehitimisha kwa kujiamini kuwa sasa yupo tayari kuchukua kazi kumsaidia rais, natamani kauli kama hii ingekuwa inatoka kwa std seveni nione konfidensi yake.
Nakusikitikia sana Burn, eti mgombea mwenza, nani anataka kuongozwa na mzee ambaye anahesabu siku zake za kufa?
Ina maana haujajua kwa nini Mkuu wenu wa Usalama wa chama shekhe yahaya kwanini amesema kuwa uchaguzi utasimamishwa? ni kwakuwa katika mkutano huu huu, huyo kikongwe wenu mnayemuita mgombea mwenza atapoteza *****, na hivyo uchaguzi kuahirishwa, au haumuamini Mkuu wenu wa Usalama tena?
Inasikitisha kuona kijana mdogooo ambaye bado unanuka maziwa unaanza kushabikia kikongwe asiye na sera, yupo kama picha ilibandikwa ukutani, anaomba tu apite ili aweze kumaliza maisha yake yaliyobakia duniani kwa amani, na kuzikwa ka heshima ya taifa, kwani anajua hilo litatokea tu in no time.
MEANTIME, TUNASUBIRI DR. WA KUPEWA JAKAYA MRISHO KIKWETE ATAKAPOSIMAMA NA KUANZA KUONGEA AANGUKE TU NA KUONGEZA IDADI YAKE ALIZOANGUKA JANGWANI. Unajua kwanini Kikwete anaanguka Jangwani each time akienda? Ni kwakuwa Jangwani ni eneo ambalo watumishio wa Mungu wengu hufanya mikutano yao na kuitia jina Kuu lipitalo majina yote hapo, hivyo huyu mgombea wenu anayetegemea kuongozwa na majini akienda pale anazidiwa nguvu na Mungu aliyehai, na ni lazima ATAANGUKA.
stay tune kumuona anapoanguka leo, nimemtuma mtu akae karibu pale ili arekodi tukio nzima, ambalo nitarekodi na kuuza kwenye CD nchi nzima, I will not miss a chance safari hii.