Elections 2010 Kutoka kampeni za mwisho za CCM Jangwani

baada ya ule mdahalo wa ki-china(fake) jana wengi tumejua kichwa ni nani. vote chadema
 
siamini hata watu wanaotumia internet pia bado wana mawazo haya................ nilidhani kuwa ni wale wa kule kijijini tu ambako wanajua Nyerere bado ndo rais!
Umenisikitisha sana Burn

unao uhuru wa kutoa maoni ni kuheshimika
 
mmh, nilishinda hapa Moro naenda zangu kupanda basi nirudi bongo, niliondoka asubuhi kuepusha msongamano na huyu mkwere!! nitakua nikicheck updates via phone, msiniangushe basi. VIVA SLAA
 
JK anasema msimchague mtu aliyesema atamwaga damu. Hivi ni nani alisema atamwaga damu?
 
Nipo nasikiliza ule wimbo wa mbagala. Sijui kama watu wa mbagala nao wanaweza kupigia CCM
 
Naona JK kamaliza hotuba yake ghafula, sijui alikuwa anakaribia kuanguka, manake alishaanza kuishiwa nguvu, lol
 
Naona JK kamaliza hotuba yake ghafula, sijui alikuwa anakaribia kuanguka, manake alishaanza kuishiwa nguvu, lol

Leo hiyo ndio hoja? vipi kuhusu festiledi wa kuazima?
 
Sio kuzidiwa!,inasemekana hawa wastaafu mwanzo walimuunga mkono Slaa.Hatimaye wamejionea aibu wenyewe baada ya kumsikia majukwaani.
Ni wastaafu wajanja. Wakaone heeh!,hebu....
 
Naskia huko mbeya wameshapigwa mabomu ya amchozi na wengine wamekamatwa!!! ntawasemea kwa MUNGU
 
Kaka Burn kamwambie Daddy na Mummy wako waanze ku-park mizigo yenu muondoke katika nyumba mlizojiuzia huko O'bay...
 
Kaka Burn kamwambie Daddy na Mummy wako waanze ku-park mizigo yenu muondoke katika nyumba mlizojiuzia huko O'bay...

yamegeuka hayo? au ndio mnataka kuanzia huko kumwaga damu? wapigie simu wenzenu wa Mbeya walitaka kujaribu wamekutana na vijana wa Said Mwema sasa hivi wanaosha macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…