Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Ahahhahahaah hili huwa ni janga la taifaHahahahaaaa.
Tutakimbiana tukigeuziwa kibao
Basi tufanye B ya Hesabu form two NECTABaba swaleheeee hatutakiiii
Nambye mamiiiBaba swaleheeee hatutakiiii
Hata sikumbuki kabisaBasi tufanye B ya Hesabu form two NECTA
Hatutaki matatizoNambye mamiii
Kwa nini mamiiHatutaki matatizo
Utakumbuka tu maana hamna namnaHata sikumbuki kabisa
Si mnapenda sana kuomba hela lazima nikuhakiki kama unajua kuzihesabu [emoji3]Hatutaki matatizo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ahahhahahaah hili huwa ni janga la taifa
Unafaa [emoji23] [emoji23]Mimi c nnazo lakini za masomo ya art,sikusoma sayansi maana nataka mwanangu awe mwanasiasa [emoji6][emoji6][emoji6][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Makubwa jongo
Ambao hatuna vyeti vya form four hatuolewi
Acha tubaki kuwa masingle ladies tu nyanya maana hakuna namnaMakubwa jongo
Ambao hatuna vyeti vya form four hatuolewi
Ahhahahaha na sisi tutaka muwe mnajua kuprint nyumba ndio tuwakubaliSi mnapenda sana kuomba hela lazima nikuhakiki kama unajua kuzihesabu [emoji3]