Kutoka kijiweni: Kwa mwendo huu itafikia mahali tuanze kuwaombea wenzi wetu dhiki....

siyo rahisi kumuacha na ulimbukeni wake maaana unakuta unakuathiri na wewe.
Ujue kuna hatua inafikia mtu anakata tamaa na kusema "Mungu nayakabidhi yote haya mikononi mwako". Ukiendelea kumfikiria sana basi utajiumiza wewe mwenyewe zaidi, usijekufa kwa presha bure. Unaendelea tu na maisha yako
 

KWELI MAFUPI LAKINI INAUMIZA KUIKUBALI HIYO HALI
 
"masiki akipata sio msemo tu kwakweli"
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…