Hii ID ninayo tangu enzi wewe bado unavaa pampasWewe zoba umefungua ID mpya ,wewe fala si ndio ulikuwa unatumia ID ya Kiembe mpumbavu wewe na mazezeta wenzako ilikuwa kila siku kumpigia debe huyo Mungu wenu jiwe ?
Nilikisoma kitabu chake chote, neno kwa neno, nikaishia kumwona mwandishi kama mtu anayewachukia "matajiri".Walter Rodney alitulidha matango pori..
Eti kabla ya Ukoloni Afrika ilikiwa na Vyuo Vikuu, huko Mali!
Mkapa alikuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma!Mkapa ili kutoka nje lazima alipaswa kuomba ruhusa sababu alikuwa bado analondwa na serikali na bado alikuwa ni mjumbe wa kamati ya ulinzi pia rais wa chuo kama sikosei ilikuwa ud
Ndio anamchukia sana na amepasua kila kitu nani asiyejua ukatili wa Magufuli?kuisha ni kuisha hata ukiisha vizuri umeiisha
yaani ka~flag anajulikana anamchukia mwamba magufuri leo anaandika kitabu cha uchunguzi kwa amchukiaye utegemee aatandika mazuri umerogwa wewe umuaminiye
Nadhani kabendera ame target wateja na hadhira yenye uwezo mdogo wa kufikiri na kupembua mambo.
Mythology aliyoitumia amefanikiwa sana, hasa humu jamiiforums ambamo panajulikana kama "The home of great thinkers".
Huwezi kuorodhesha mythical premises kama hizo zisizo na clear justifications halafu Kuna watu wana consume bila kujiuliza.
Kwamba Mo Dewji alitekwa Ili wakatoe pesa benki na maafisa wa serikali ya Magufuli? 🤣🤣🤣
Kwa taarifa yenu tu! Serikali inaweza kuchukua au ku freeze account yoyote ya pesa bila hata kumhitaji mhusika kwa kumteka.
Tumieni akili, simtetei Magufuli lakini pia siwezi kudanganywa kirahisi namna hii kwa sababu najua ninachokisema.
Hiki kitabu hakina tofauti na Ile "Takataka" Fulani ya bwana yericko.
Wataalamu wa mambo najua mnanielewa.
Nadhani kabendera ame target wateja na hadhira yenye uwezo mdogo wa kufikiri na kupembua mambo.
Mythology aliyoitumia amefanikiwa sana, hasa humu jamiiforums ambamo panajulikana kama "The home of great thinkers".
Huwezi kuorodhesha mythical premises kama hizo zisizo na clear justifications halafu Kuna watu wana consume bila kujiuliza.
Kwamba Mo Dewji alitekwa Ili wakatoe pesa benki na maafisa wa serikali ya Magufuli? 🤣🤣🤣
Kwa taarifa yenu tu! Serikali inaweza kuchukua au ku freeze account yoyote ya pesa bila hata kumhitaji mhusika kwa kumteka.
Tumieni akili, simtetei Magufuli lakini pia siwezi kudanganywa kirahisi namna hii kwa sababu najua ninachokisema.
Hiki kitabu hakina tofauti na Ile "Takataka" Fulani ya bwana yericko.
Wataalamu wa mambo najua mnanielewa.
Nilikuwa nina maana ya wale Watanzania wenye uwezo wa kudadavua mambo yaliyofichika au kufichwa ! 🙏Watanzania sisi siyo wajinga usitujumuishe
Na yeye Kaflag ameshachukua mzigo wake anakula Whiskey 🥃 taratibu huko aliko ! 🤣Huyo kaflag kawaokota watu humu JF..
Sidhani km kusoma vitabu Kuna shida mkuuWatanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule😂.
Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo maana ccm imekua ikiwadanganya na kuwafukarisha kwa miaka zaidi ya 60 na bado wanaichagua.
Nadhani Tanzania ni nchi yenye binadamu wa aina yake Duniani, special human species.
Lengo la kusoma kitabu ni kuongeza maarifa maana maarifa yamefichwa kwenye maandishi hivyo lazima usome vitabu ili kuyapata hayo maarifa yaliyofichwa kwenye maandiko ama maandishi.Sidhani km kusoma vitabu Kuna shida mkuu
hicho kitabu mm naona kinaongeza idadi ya machawa tuLengo la kusoma kitabu ni kuongeza maarifa maana maarifa yamefichwa kwenye maandishi hivyo lazima usome vitabu ili kuyapata hayo maarifa yaliyofichwa kwenye maandiko ama maandishi.
Sasa unasomaje kitu ambacho hakikuongezei maarifa ama jambo jipya lolote. Huo muda si bora ulale ama ucheze karata.
kwamba tuamini stori za mtu mwenye chuki na mwambaNdio anamchukia sana na amepasua kila kitu nani asiyejua ukatili wa Magufuli?
Aliuwa watu na kupora mabilioni ya wafanyabiashara kwanini unafikiri ashindwe kumzuia Mkapa asiende nje ya nchi.Siamini kabisa Magufuli alimzuia Mkapa asisafiri.
Hakuwa mtakatifu ila hakuwa mtu mbaya kiasi hicho.
Uchaguzi wa 2020 watu wachadema baadhi yao kama wagombea waliteswa na kutupwa maporini ushahidi yule mkuu wa wilaya ya longido alisemaAliuwa watu na kupora mabilioni ya wafanyabiashara kwanini unafikiri ashindwe kumzuia Mkapa asiende nje ya nchi.
MuyangoMzilankende
MuyangoMzilankende
Ili iwejeKitabu kiingizwe kwenye mitaala