Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Wewe hizi taarifa ulizipata wapi? Una hakika nazo?Magufuli aliambiwa kuhusu ugonjwa wa Mkapa, ilikuwa Covid 19 ina msumbua na alikuwa na hali mbaya sana, madaktari na familia waliomba apelekwa Afrika ya Kusini kupata matibabu sahihi kutokana na hali yake kuwa mbayaMagufuli akakata kutoa ruhusa ya matibabu mpaka kifo kilimpomkuta wakasema ni homa ••IN THE NAME of the PRESIDENT: MEMOIRS of a JAILED JOURNALIST
Nakuongeze na nyingine hii hapa chukua kwamba kwenye zile ndege alizonunua, nne kati ya hizo alizihamishia Chato na sasa hivi huwa zinafanya safari kati ya Chato na Geita!