Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

Ebu mda mwingine tuwe tunashirikisha akili zetu vizuri alizotujaalia Mwenyezi Mungu,hivi kweli late Mkapa kwa pesa alizokuwa nazo alishidwa kwel kwenda south kwa matibabu kwa vile magu alikataaa yeye kwenda soutg
Muamuzi wa Yeye aende au asiende ni Rais...Rais Mstaafu yuko Chini ya Rais aluyepo madarakani..

Hta sasa Kikwete akiumwa Mwenye Kuamua Apelekwe Wapi ni Rais Samia
 
Muamuzi wa Yeye aende au asiende ni Rais...Rais Mstaafu yuko Chini ya Rais aluyepo madarakani..

Hta sasa Kikwete akiumwa Mwenye Kuamua Apelekwe Wapi ni Rais Samia
Hiyo ni kwa mujibu wa hisia zako au nini?

Unaweza kutupatia chanzo cha hayo unayodai?
 
Nadhani kabendera ame target wateja na hadhira yenye uwezo mdogo wa kufikiri na kupembua mambo.

Mythology aliyoitumia amefanikiwa sana, hasa humu jamiiforums ambamo panajulikana kama "The home of great thinkers".

Huwezi kuorodhesha mythical premises kama hizo zisizo na clear justifications halafu Kuna watu wana consume bila kujiuliza.

Kwamba Mo Dewji alitekwa Ili wakatoe pesa benki na maafisa wa serikali ya Magufuli? 🤣🤣🤣

Kwa taarifa yenu tu! Serikali inaweza kuchukua au ku freeze account yoyote ya pesa bila hata kumhitaji mhusika kwa kumteka.

Tumieni akili, simtetei Magufuli lakini pia siwezi kudanganywa kirahisi namna hii kwa sababu najua ninachokisema.

Hiki kitabu hakina tofauti na Ile "Takataka" Fulani ya bwana yericko.

Wataalamu wa mambo najua mnanielewa.
Kuna mambo hufanyika ili kuepusha Maswali mengi sana..
Jiulize kama Serkali Inge Freeze Account za Mo Ingetoa Justfication zipi za Kufreeze account hizo?

Ingetoa Pesa kwenye Account ya Mo ingesema imetoa kwa sababu gani?
Try To Think out Loud!
Unafikiri Mo naye angekubali?

Kumbuka Ukiacha Kuwa Mfanya Biashara Mo Pia Ni msomi Wa Biashara akiwa na Masters ya Biashara..

Ukiacha Hiyo Mo Ni kada wa CCM aliyekuwa Mbunge wa Singida kwa Miaka Isiyopungua 10..

Hivyo hiwezi kufanya Tricky kama Unazosema Kwa Mtu kama huyo bila Kusababisha Matatizo
 
Dogo nii mjinga, alishauriwa na wenzake wasimuhusishe baba yake maana kontena lilikuwa kubwa. In short, dogo hana faida na hii nchi angeachwa tu anyongwe.
Alijiona anakufa ikabidi kumsanua mzee ili apate msaada maana alijua mzee hawezi kumuacha atafanya lolote achomoke
Na je vipi kuhusu hao wenzake waliomwambia asimuhusishe baba yake kusa kontena ni kubwa na wao wazazi wao waliebda kuwachomoa ama walipitia mgongo wa dogo au walinyongwa tu
 
Siitambui mkuu,sio mbaya ukatuelewesha
Kuna watu ni mali ya nchi mzee huwez kutoka hovyo hovyo mzee bila nchi kujua unakokwenda na kinachokupeleka. Kuna mzee mmoja jiran yangu alistaafu walimkatalia kurud kijijin mpaka leo yupo yupo tu huku vibarazan mwa wazee.
 
Madai mengi ya huyo Kabendera hayaingii akilini kabisa.

Yanajenga picha ya Magufuli kuwa alikuwa mwehu na mwendawazimu kabisa licha ya kuwepo serikalini kwa zaidi ya miaka 20 ambapo alipanda vyeo mpaka kufikia kiwango cha uwaziri.

Napata shida sana kuamini mengi aliyoyaandika.

Mengi aliyoyaandika ni tabloid-ish.
Kwani Magufuli alikuwa mzima kichwani?
 
Kuna mambo hufanyika ili kuepusha Maswali mengi sana..
Jiulize kama Serkali Inge Freeze Account za Mo Ingetoa Justfication zipi za Kufreeze account hizo?

Ingetoa Pesa kwenye Account ya Mo ingesema imetoa kwa sababu gani?
Try To Think out Loud!
Unafikiri Mo naye angekubali?

Kumbuka Ukiacha Kuwa Mfanya Biashara Mo Pia Ni msomi Wa Biashara akiwa na Masters ya Biashara..

Ukiacha Hiyo Mo Ni kada wa CCM aliyekuwa Mbunge wa Singida kwa Miaka Isiyopungua 10..

Hivyo hiwezi kufanya Tricky kama Unazosema Kwa Mtu kama huyo bila Kusababisha Matatizo
Mkuu
 
###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###

Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,

Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu

Nawakumbusheni msome kitabu
Alaaniwe kibendera. Huyu muongo mlafi kupata hela kwa kitabu cha uongo mtupu. Ni kazi ya ubeberu pia kumfaidisha binafsi. Kuna watu waliyomchukia sana magufuli na ndio hao kabendara anategeme wanunue kitabu chake. Huko ulaya sijui atawauzia nani maana wazungu sio wajinga kudanganywa.
 
Ebu mda mwingine tuwe tunashirikisha akili zetu vizuri alizotujaalia Mwenyezi Mungu,hivi kweli late Mkapa kwa pesa alizokuwa nazo alishidwa kwel kwenda south kwa matibabu kwa vile magu alikataaa yeye kwenda soutg
Mkuu hii nchi ina watu wajinga wengi..... Wachache wenye uelewa wanatumia hisia/mahaba kumfanya maamuzi......... Reasoning wamepuuza
 
###Kwa wale wavivu wa kusoma vitabu Matukio mbalimbali ndani ya kitabu cha kabendera yatakuwa huku kwenye huu uzi ###

Fedha zilikuwa zinatolewa kwenye account za kampuni, bank manager walikuwa wanapigiwa simu kusubiria bank jioni, kisha Mo anatokea akiwa na watu wa mfumo kutoa fedha. Mo bana kumbe anaficha vitu vya ajabu hivi kwa mujibu wa kitabu,

Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu

Nawakumbusheni msome kitabu
hicho kitabu kinapatikana wapi?
 
Kumbe mtekaji hakuwa Magufuli tu ila kitabu kinamueleza yeye tu?



Makonda alipigwa ban sababu alitangaza vita against ushoga au na hilo unataka hadi kaflag akujaze ujinga? Mnataka muunde conspiracy yenu tena kujifariji? Hili lilikua wazi na serikali ya TZ kupitia msemaji wake muda ule ilijitenga na kauli za Makonda. FYI, watu wengi tu walipewa makaratasi nje sababu ya kauli za Makonda by claiming prosecution.



MO kujibu kinafki haimaanishi kwamba alitekwa na Rais. Ni mtu mjinga peke yake anayeweza kuamini hiyo story eti rais akuteke ili kuchukua pesa zako. Hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kuamini esp kwenye nchi kama bongo ambayo rais ni almost mfalme. Kila siku mnalia katiba ibadilishwe ili rais apunguziwe madaraka, rais huyo huyo mwenye madaraka yote akuteke kuchukua pesa yako wakati BOT, hazina, mahakama, polisi na taasisi zote zipo chini yake.

Watoto 27 wewe au mtu yeyote anawajua zaidi ya kaflag?
Makonda amepigwa ban na serikali ya Trump na Mike Pompeo akiwa secretary of state, soma vizuri acha kupotosha kuwa alikuwa anapiga vita ushoga. Hivi wewe upoje? Makonda alikuwa nani? Hakuwa waziri wala kiongozi mkubwa alikuwa mkuu wa mkoa, alichoweza kufanya Makonda au Bashite ni kuteka na kuua, na ndiyo ilivyosema ile ban ya Mike Pompeo. Leo Makonda anasema kuwa wameshinda wasiotaka ushoga, hivi huyu mwenzenu anayo akili kibuyu huyo? Sasa serikali iliyompiga ban imerudi na sasa tutaona mbichi na mbivu.
Watanzania mnadanganywa na watu wasio na akili kama Albert Bashite kuwa amekataliwa kuingia Marekani kwa ajili ushoga.....HUO NI UONGO, ban yake inasema kwa kuondoa maisha ya watu humu duniani. Sasa wamerudi waliomweka ban, safari hii sijui kama atakwepa The Hague, na mama na mkwe wake mwenye kifua kipana wajiandae.
 
Makonda amepigwa ban na serikali ya Trump na Mike Pompeo akiwa secretary of state, soma vizuri acha kupotosha kuwa alikuwa anapiga vita ushoga. Hivi wewe upoje? Makonda alikuwa nani? Hakuwa waziri wala kiongozi mkubwa alikuwa mkuu wa mkoa, alichoweza kufanya Makonda au Bashite ni kuteka na kuua, na ndiyo ilivyosema ile ban ya Mike Pompeo. Leo Makonda anasema kuwa wameshinda wasiotaka ushoga, hivi huyu mwenzenu anayo akili kibuyu huyo? Sasa serikali iliyompiga ban imerudi na sasa tutaona mbichi na mbivu.
Watanzania mnadanganywa na watu wasio na akili kama Albert Bashite kuwa amekataliwa kuingia Marekani kwa ajili ushoga.....HUO NI UONGO, ban yake inasema kwa kuondoa maisha ya watu humu duniani. Sasa wamerudi waliomweka ban, safari hii sijui kama atakwepa The Hague, na mama na mkwe wake mwenye kifua kipana wajiandae.

We kenge hebu jisomee hapa toka BBC:


Pili, Trump kuwa madarakani hakuna effect yeyote ile kwa Makonda. Hata kipindi kile kapigwa ban aliendelea na majukumu yake TZ kama kawaida. Hakuna ulazima wa kwenda Marekani na Marekani haina mamlaka ya kumshika Makonda mahala popote pale. Kadhalika USA sio mwanachama wa The Hague sasa Makonda ajiandae na nini? Nyie watu wapumbavu sana ndo maana kaflag anawadanganya na story za kijinga anajua nyumbu hamna uwezo wa kufikiria.
 
We kenge hebu jisomee hapa toka BBC:


Pili, Trump kuwa madarakani hakuna effect yeyote ile kwa Makonda. Hata kipindi kile kapigwa ban aliendelea na majukumu yake TZ kama kawaida. Hakuna ulazima wa kwenda marekani na Marekani haina mamlaka ya kumshika makonda mahala popote pale. Zaidi USA sio mwanachama wa the hague sasa Makonda ajiandae na nini? Nyie watu wapumbavu sana ndo maana kaflag anawadanganya na story za kitoto.
Wewe ni mshenzi, unafikiria kwa kutumia makalio yako . Fala wewe bwege mwenyewe. Wewe mbwa soma secular yake ya kufungiwa kuingia USA, Usipanue tu domo lako fala wewe.Unajua english wewe mshenzi? Soma paragraph ya kwanza inasemaje kenge wewe mwenyewe. Hujui hata unachoandika paka wewe. Haya nakuwekea uone, ndiyo shida za mliosoma shule za kata.
[Mr Makonda has] also been implicated in oppression of the political opposition, crackdowns on freedom of expression and association, and the targeting of marginalized individuals," a statement from the US state department said.
 
Wewe ni mshenzi, unafikiria kwa kutumia makalio yako . Fala wewe bwege mwenyewe. Wewe mbwa soma secular yake ya kufungiwa kuingia USA, Usipanue tu domo lako fala wewe.

We kenge Makonda is on the record akipinga mashoga wazi wazi. Kipindi kile msemaji mkuu wa serikali alitoka hadhariani to distance serikali na kauli za Makonda. Huo utekaji zaidi ya story za hearsay hakuna mwenye uhakika nani alitekeleza. Watu wanaendelea kutekwa bado ni Makonda au Jiwe ndo wanatekeleza? Muwe mnatumia akili nyie nyumbu.

Kusema Makonda atakoma Trump karudi USA is laughable. Hujui hata USA sio mwanachama the Hague. Nyumbu ni nyumbu tu.
 
Back
Top Bottom