Kutoka kizazi cha Frank Lampard mpaka Jordan Henderson...

Kutoka kizazi cha Frank Lampard mpaka Jordan Henderson...

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Kulikua na Uingereza ya kizazi cha akina Paul Scholes,Frank Lampard,Steven Gerald,Sol Campel,David Seaman...nk.Wote hao hawakuwai kufanikiwa kupeleka kikombe chochote kile wakiwa na timu ya taifa lao iwe World Cup au EURO Cup

Sasa kuna kizaz cha Akina Jordan Henderson,Adam Lalana,Sturidge,Hart,Walcot,Alli,Rooney japo naye kama vile umri unasogea.

Je kizazi hiki cha sasa kinaweza kupeleka Kombe lolote pale Uingereza??
 
Mhhh ngumu kumeza, ila chochote kinawezekana kwenye soka, kama ureno kaweza why not for england
 
Mhhh ngumu kumeza, ila chochote kinawezekana kwenye soka, kama ureno kaweza why not for england


mkuu angalia mikabaji ya ureno pale kati william anacheza ile style ya zaman anahakikish havuki mstar wa adui beki zote zinakuwa salama
 
nao brazil vipi?

kuna kiuongo alikuwa kati pale nlikuwa nampenda sana mwishoni mwishoni wakat brazil inaelekea mwisho GILBETO SILVA arsenal walabahatika huyu mtu
 
nao brazil vipi?

kuna kiuongo alikuwa kati pale nlikuwa nampenda sana mwishoni mwishoni wakat brazil inaelekea mwisho GILBETO SILVA arsenal walabahatika huyu mtu
Brazil kizaz cha Ronaldo,Ronaldihno,Cafu Bebeto,Denilson wamebeba kombe ardhi ya Japan Ronaldihno anamfunga Seaman goli la umbali wa Mbez luis to Kivukoni
 
Mhhh ngumu kumeza, ila chochote kinawezekana kwenye soka, kama ureno kaweza why not for england
Wakiacha kucheza na media watachukua na wampate kocha mzuri hata akiwezekana atoke nje ya England
 
hicho kizazi kilitimia sana kila idara kwa sasa wafikirie mwaka 2050 sio hao akina walkoti,yaani mpaka sasa kiungo mkabaji hajulikani kiungo mshambuliaji hajulikani beki ndio kabisa
 
Itabaki kumbukumbu tu ya wakongwe kina geoff hurts Bobby moore jack charlton nobby stiles Bobby Charlton na Gordon banks mwaka 1966 hicho ndicho kikosi cha kwanza na cha mwisho mpaka sasa kilichowatoa kimasomaso waingereza hao kina frank kipi wamefanya kwa taifa mpaka wazungumziwe?
 
Kile kizazi kimewaangusha sana waingereza,kilikuwa kizazi cha wanaojifanya wanajua,,kila MTU alikuwa anajiona star ndo sababu ya wao kufeli....always vizazi visivyopewa nafasi ndo hufanyaga vizuri,,hiki kizazi kikipata kocha mwenye njaa ya mafanikio kinaweza kufanya wonders...
 
England na Tanzania hatuna tofauti kwenye timu za Taifa,porojo nyingi kuliko vitendo uwanjani.
 
Uingereza kinacho wamaliza ni unit, uhasimu wa club unapelekwa hadi timu ya taifa

Hapo anatakiwa kocha anaewafahamu wachezaji nje ndani, na pia kuna wachezaji wasiwe wanaitwa kama hawapo Katika ubora

Mfano, unamuita rashford unamuacha townsend, unamuita wilshare unamuacha drink water akiwa on fire au mark nobel katika ubora wake halafu unataka ufanikiwe kwenye michuano hiyo haipo, wakati huo huo beki unamuweka cahil ambaye anacheza kama under 20
Kiufupi uingereza wanavitu viche tuu vya kurekebisha then moto watawasha
 
Mpira hauna formula ndiyo maana Uholanzi ina kina Van Persie,Sneijer,Roben,Blind lakini inashindwa hata kuqualify Euro kama pia Belgium iliyo na kina Benteke, Hazard, De Bruyne, Vertoghen,Kompany, Lukaku ambayo nayo kila siku inaambulia vipigo.
 
Eti Henderson Jordan nduye nahodha Liver?,kweli Waingereza wana uhaba wa vipaji..
 
Tatizo Lao Hawatafuti Kocha Wa Mafanikio Bali FA kwa Unazi Wao Wa Kuuvaa Ubritish Huishia Kuchukua Makocha Ambao ni Failure Katika Vilabu Vyao Wakawapa Majukumu Ya Timu ya Taifa...
 
hicho kizazi kilitimia sana kila idara kwa sasa wafikirie mwaka 2050 sio hao akina walkoti,yaani mpaka sasa kiungo mkabaji hajulikani kiungo mshambuliaji hajulikani beki ndio kabisa
Jana naona wameenda sare tangu akina scholes/lampard/gerald watundike daluga hakuna kiungo mzuri aliyetokea tena
 
Itabaki kumbukumbu tu ya wakongwe kina geoff hurts Bobby moore jack charlton nobby stiles Bobby Charlton na Gordon banks mwaka 1966 hicho ndicho kikosi cha kwanza na cha mwisho mpaka sasa kilichowatoa kimasomaso waingereza hao kina frank kipi wamefanya kwa taifa mpaka wazungumziwe?
Walikua wachezaji wa kariba ya kiwango cha juu ila hakuna walichofanyia taifa lao
 
Kile kizazi kimewaangusha sana waingereza,kilikuwa kizazi cha wanaojifanya wanajua,,kila MTU alikuwa anajiona star ndo sababu ya wao kufeli....always vizazi visivyopewa nafasi ndo hufanyaga vizuri,,hiki kizazi kikipata kocha mwenye njaa ya mafanikio kinaweza kufanya wonders...
Tofauti sana na Brazil kila kizaz chenye Jina kubwa kimebeba kombe...Neymar/olimpiki,Kaka/kombe la mabara,Ronaldo/world cup
 
Back
Top Bottom