Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Uislam una utaratibu wake wa kuyakemea maovu wewe unataka tuyalaani vipi? Wewe umeishalaani kitendo cha Maskofu na Mapadri kuwa mashoga?
haha...km mnavyolipua makanisha kw akusikia tuu hata hamjaona mtoto akikoholea al kitabu...?waislam ni watu wa hovyo sana.....madai yenu kuwa ni Fitna....na allaha ndie master wa fitna.....Nani kakuambia Padri wanaruhdusiwa kuwa mashoga..you bastard slanderers...?Pope hajagive in to US pressure...Mugabe kamwambia obama km anataka sana ushoga uje Africa basi Mugabe angependa amuoe obama ili aweze ufirikia km kweli unawork..... soma hapa kenge wewe: HH Sheikh Hamdan Bin Mohammed Al Maktoum Has PR. Problems | The Empress of DressThe Empress of Dress ::http://news.malaysianreview.com/339...hrow-boasting-drink-drugs-and-sex-parties/::: Sheikh backs gay rights |The Nation Online http://www.youtube.com/watch?v=2HlqRspz2aI::
 
Ivi Lukuvi ni chama gani?
Ana wadhifa gani serikalini?
Wadhifa huo alipewa na nani?
Alikua anamuakilisha nani siku akitoa maneno hayo?
Mmetengeneza bomu la masaa nyinyi wenyewe leo limeanza kulipuka mnawalilia wakatoliki si mnataka serikali mbili na kale ka-ZNZ katabaki kama mkoa tu safi CCM kwa hili na hakuna hata kukemea maana Lukuvi kawawakilisha vema kama mlivomtuma.

Wewe unaongelea mfumo kristo au vyama?

Kumbuka, hata wanga na wachawi wana vyama vyao.
 
Ritz: http://gatesofvienna.net/2013/02/homosexuality-in-iraq-and-saudi-arabia/:: Why are so many Gulf Arabs into Gay sex Persian Prince Ex-Muslim ***** offline Why are so many Gulf Arabs into Gay sex Reply #55 - June 07, 2013, 10:48 PM Its not just gulf Arabs although they take the cake on this one by far. Iran used to be a socially free country where men and women were permitted to mingle in public and dress any way they wanted. Until the revolution that sent the country back a thousand years. Now, since the Islamic dress and behaviour code are enforced at the end of a barell, there is rampant homosexuality among theyoung male population. And exactly the same mindset, they believe that the penetrator is straight lol, which I find the most ridiculous part of the whole pathology. Now homosexuality is prevelant in all countries and studies suggest that an estimated 10 percent of people are what we classify as homosexual. I have no doubt in believing that up to 60 percent of Saudi males may have had homosexual encounters, because the case clearly demonstrates in Iran, when you repress a young mans primal urges he will find another way to "satisfy" himself. Iran is like the perfect little experiment where you can prove that the vast majority of these people are driven to homosexuality as a means to satisfy what would otherwise be heterosexual urges. In the absence of clear prohibition of such acts by their religious leasers, they see fooling around with each other as a less sinful act than approaching and having a sexual relationship with a female ( as impossible as that may be in some extremely repressed societies). I have many Saudi friends, mostly exchange students who have come here to study, who are all from well off Saudi families and they have all without exception told how prevelant this kind of behaviour is in Saudi Arabia. Most are ashamed of it and will not actually admit to doing anything of the sort themselves. Its unnatural for men and women to be seperated all the time with no contact whatsoever if they aren't related. So we can't blame the Khaleejis as most of them are good people and have only turned to this because of depravity. I had always been taught from an early age to hate gulf Arabs. Especially Saudis. Until I met a few Saudis in college who were literally some of the kindest and warmest people I've ever known. You can despise an ideology while still understanding and loving the people who are slaves to it.
 
Tazama walivyo na hila, wanajaribu kila njia kuitoa mada "kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014" na kuupeleka wanapodhani wao kuwa wapo safe.

Wanajihadaa, eti wanaukwepa ukweli.

Nawauliza, ukweli unakwepeka?
 
Mohamed Said hana wafuasi humu JF? Are you serious?

Mimi lugha za kejeli au dharau hazinitishi na wala sisiti kuzitumia pale ninapoona panastahili. Ninachokataa ni mtu kujifanya hauzipendi lakini unawaachia acolytes wazitumie bila kuwakana. Mtu asiyependa lugha hizi hatopenda kuona mwenzake anatukanwa bila sababu yeyote.


Amandla.....

Wewe sio mfuasi wa Al Alama Mohamed Said humu JF?

Tazama toka kabandika hii nyuzi umeshaingia na kumsoma na kujibu posts ngapi?

Hujajifunza hata moja kutoka kwake?
 
Last edited by a moderator:

haha...km mnavyolipua makanisha kw akusikia tuu hata hamjaona mtoto akikoholea al kitabu...?waislam ni watu wa hovyo sana.....madai yenu kuwa ni Fitna....na allaha ndie master wa fitna.....Nani kakuambia Padri wanaruhdusiwa kuwa mashoga..you bastard slanderers...?Pope hajagive in to US pressure...Mugabe kamwambia obama km anataka sana ushoga uje Africa basi Mugabe angependa amuoe obama ili aweze ufirikia km kweli unawork..... soma hapa kenge wewe: HH Sheikh Hamdan Bin Mohammed Al Maktoum Has PR. Problems | The Empress of DressThe Empress of Dress ::http://news.malaysianreview.com/339...hrow-boasting-drink-drugs-and-sex-parties/::: Sheikh backs gay rights |The Nation Online http://www.youtube.com/watch?v=2HlqRspz2aI::

Haha..singh... acollection of islam and hindu..i cant see where you can challenge islam (your grand pa) in the light of modern age..?I could also see your dark side castng a shadow into Christianity and never in islam.....what else do you want to see....on mujaheedina/jihadists..?

Mtoto wa kiume unacheka "ha ha"!
We kweli hata biscuti unaweza kuvunja?

Copy and paste inaweza kukuadhiri!
Unajua hata hivyo ulivyo tu kopia hapo juu!? Au basi tu na wewe unaona raha kumwaga vinyesi vya mbege kila mahali!

Teh teh teh teh.
Hivi we meku! Lini hizo pombe za moshi utaacha!?
Kuna jamaa kanitumia picha yako hapa! Anasema kila ukinywa lzm ujikojolee!
Hivi wazee wako wapo hai kweli!?? Au huwajui!??

Hebu jicheki hapo! Mpaka suruali imeteremka chini!
Jamaa wanasema ulipigwa ofa ya vikunyagi! Siku hio mpaka ukajinyea!

Au jamaa wanakupakazia!??
 

Attachments

  • 1398221875401.jpg
    1398221875401.jpg
    41.6 KB · Views: 96
[video=youtube_share;BeHOiuBfwzs]http://youtu.be/BeHOiuBfwzs[/video]
Sitaki amini una ujasiri mkubwa mkubwa kumbe na wewe umeliw akiboga sana.....tuu.Kwenda huna dili....nyie hamna thamani km ubikira....kwanza wewe kwa fikra za dini yako kila sehemu wewe ni uchi mtupu.....hado uso wako ni uchi...sijui povu la nini hapa.Kwenda .....huko loosers wewe...Kwanza uliwe kiboga kutunza ubikira, pili uliwe kumfurahisha mbakaji na mbakwaji ktk madrassat, halfu utumie km uzazi wa mpango.. Sasa ndio nawajua kwanini wanaume wa kiislamw anapiga sana wake zao..kwa vile walibakwa na kulawitiwa sana madrassat, halafu wakalazimishwa kuoa huku wakijifanya wanaweza liwa na wasiwe mashoga..ndio maana mnapiga kelele za kijinga hakuna ushiga kwenu.
 
wanaukumbi,
imekuwaje leo uislam wa zanzibar unakuwa neno miaka 50 baada ya muungano? Kuna kitu hapa hakisemwi kwa kuwa kinatisha. Dunia nzima hivi sasa uislam unakuja juu na huu ni ukweli usiopingika. Hapa kwetu tanganyika uislam umechukua sura nyingine pia. Kuna kitu ulaya na marekani wanakifahamu nacho ni ''militant islam.'' hili ni somo tosha linalojitegemea lakini hapa hatuwezi kuingia ndani ila itoshe tu kusema kuwa kuna waislam wananyanyua silaha kuilinda dini yao. Kama hivyo ni sawa au si sawa hilo tuwaachie maulamaa waamue.


ili mtu aweze kuelewa kwa nini leo uhusiano kati ya zanzibar na tanganyika umefika hapa ulilipofika ni muhimu sana akaijua historia ya kweli ya muungano. Vinginevyo mtu atakuwa anatapatapa hana mahali pa kushika.

mwaka 1964 wakati tanganyika inaungana na zanzibar, tanganyikahaikuwa kama hivi sasa ilivyo. Suala la ''udini'' halikuwapo katika siasa za tanganyika. Uislam ulikuwa umetumika vilivyo kupigania uhuru wa tanganyika bila ya kuuathiri ukristo na hakuna aiyekuwa hajui nguvu ya uislam. nyerere mwenyewe aliingia madarakani mwaka 1961 na kuishika nchi akiwa amekaa juu ya mabega ya waislam. Siasa zilizotamalaki wakati ule zilikuwa siasa za uzalendo wa kiafrika. Dini katika uendeshaji wa nchi haikuwa na nafasi. hii leo mambo yamebadilika sana.

uislam tanganyika ulianza kupigwa vita vya chini kwa chini mara baada ya uhuru hatimaye kufika mwaka 1968 vita hii ilikuwa ishafika kileleni katika mgogoro wa east african muslim welfare society (eamws) na kuundwa kwa bakwata. Si siri tena kuwa nyerere na kanisa katoliki walihusika sana na hatimae nguvu ya waislam katika siasa za tanganyika zikapotea kabisa pamoja na historia ya uislam katika kupigania uhuru wa tangayika. Hadi leo mashujaa waliopigania uhuru wa tanganyika historia yao imefutwa. Imekuwa mwiko hata kuwataja katika vitabu vya historia.

hivi sasa hisia za uislam katika nchi yetu zinafukuta chini kwa chini na ndiyo maana tumekuwa na mauaji ya mwembechai, picha ya ndege, na kilindi na vijiji vya pembezoni mwake hivi karibuni na majuma mawili yalopita tu waislam wamingiliwa msikitini (staili ya mwembechai) na kupigwa na polisi. Kesi za masheikh zimekuwa maarufu zanzibar na tanganyika. Shuhudia hapa jf hamaki za kidini na wakati mwingine matusi baina ya waislam wa wakristo. Hizi ni dalili tosha kuwa mambo si shwari tena. Kitu cha kushangaza ni kuwa viongozi wetu wanajifanya hakunajambo, tuna amani.

hii leo zanzibar karume akitajwa baadhi ya watu wanamlaani na halikadhalika tanganyika nyerere akitajwa baadhi ya waislam wanamlaani. Ccm zanzibar katika chaguzi zote toka 1995 wamekuwa wakishindwa na hili linafahamika dunia nzima. Zanzibar wanachukua serikali kwa mtutu wa bunduki. Kitu cha kujiuliza ni hiki. Ni nani hawa wanaowanyima ccm zanzibar kura? Jibu ni kuwa hawa ni wananchi na wengi wao wamezaliwa baada ya mapinduzi.

wazanzibari asilimia 99 ni waislam. Hii asilimia 99 leo inajua kuwa nchi yao imeungana na tanganyika mbayo viongozi walioshika madaraka ni wakristo na wana chuki kubwa na uislam. Wazanzibari hawajasahau sakata pale walipojiunga na organisation of islamic conference (ioc) mwaka 1993 na wala hawajasahau aboud jumbe alivyotolewa madarakani dodoma kwa kuidai zanzibar. Viongozi wa leo wa tanganyika hawa hawapendezi zanzibar kama walivyopendeza kwa wazee wao wakati wa muungano mwaka wa 1964. Viongozi hawa ndiyo hawa katika kundi la akina william lukuvi wanaoingia kanisani na bila hofu kusema kuwa hawataki kuiona zanzibar inakuwa nchi ya kiislam. william lukuvi alipopewa nafasi ndani ya bunge maalum la katiba kujieleza bila hofu na kwa kibri cha hali ya juu akarudia maneno yale yale na kusema yeye si mnafiki atasema kile kilicho katika nafsi yake kuwa hawawezi kuiachia zanzibar iwe huru isimamishe uislam. Ile picha iliyozoeleka zanzibar na tanganyika hapo zamani ya kuwaona karume na nyerere wote wamevaa kofia za mkono (kofia za kiislam) leo haipo.

labda kitu cha kujiuliza leo ni kwa nini nyerere aliacha kuvaa barghaishia iliyokuwa ikimkaa vyema? Viongozi wa tanganyika leo wanaingia zanzibar wamening'iniza misalabamizito ya dhahabu shingoni. Ilikuwa wazanzibari watanabahi siku nyingi sana. Naomba nihitimishe kwa kunukuu maneno ya dk. Harith ghassany katika kitabu chake maarufu kuhusu zanzibar, ‘’kwaheri ukoloni kwaheri uhuru’’:

‘’inavoonyesha, bado haijawadhihirikia tanganyika watawala kuwa baada ya miaka 50 kuwa ipo haja kubwa kwa tanganyika kuubadilisha mtizamo wake juu ya zanzibar na kuupinduwa msimamo mkongwe wa kuinyanganya na kuinyima zanzibar haki zake kwa kukhofia kuwa ikiwachiwa huru zanzibar itakuwa ni tatizo la kimataifa kwa tanganyika. Au zanzibar itakuja kutumiliwa au kutumika kama ni mlango wa kuuingiza ubeberu wa kiarabu na wa kiislamu tanganyika na afrika ya mashariki na ya kati. Wako wengi wenye kuhadaika na udogo wa zanzibar ingawa athari zake wanaziona lakini wameamuwa kuukataa ukweli huo. Anasema jalaluddin rumi “yatizame macho yako. Ni madogo lakini yana uwezo wa kuyaona mambo makubwa.”


ningejua anuani yako ningekutumia kadi isemayo ugua pole!
 
Wasome na hawa, halafu tueleze nao ni Waislaam? CNN - Fast-growing Islam winning converts in Western world - Apr. 14, 1997
Unachoshindwa fikiria wewe na wapuuzi wenzio ni hiki...hata rate ya uovu n augaidi ulaya inazidi.....ubakaji,ulawiti na mauaji ya wototo yanazidi..na kuanguka kwa uchumi pia...yote hayao yanatokea wakati Ukristu ukijitengea na hao jamaa..na uislam kukaribia..Huoni mfanano na kigoma,bagamoyo,tanga,tabora,zenji.....?sasa kwanini usiseme na ujambazi nao ni dini ya kweli?
 

EAMWS kilianzishwa na Aga Khan mwaka 1945. Aga Khan ambae baadhi yenu hamumkubali kama muislamu kamili. Kilichouwa EAMWS ni Azimio la Arusha na dhana ya baadhi ya waislamu kukiona kama chama cha wahindi. Katika mkutano wa mwaka 1968 uliofanyika Iringa, hakuna mkristu aliyekuwepo. Mzungumzaji mkuu alikuwa Karume na ndie yeye aliyepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la EAMWS.




Maneno yako mwenyewe kuhusu kifo cha EAMWS. Unataka kutuambia hao wakina Nasibu, Jambia na wengine walikuwa wa misheni?

Halafu hebu mfahamishe FaizaFoxy kuwa ni wamisri ndio walioahidi kujenga Chuo Kikuu kwa ajili ya waislamu na sio Gaddafi.

Amandla......

Rudia tena post yangu ujine ulivyo finyu, mimi naongelea Msikiti Butiama , wewe unaongelea chuo kikuu. Wapi na wapi?

Tafiti nncho kueleza utakipata, usingoje kufanyiwa kila siku, kwa kukujuza kwa uchache tu; Nyerere alipewa fedha za kujenga msikiti na Ghaddafi akazilalia mpaka kafa hajaujenga. Alipokufa, Maria Nyerere ndio akatoa hiyo siri na msikiti ukajengwa "guiltily".
 
Tazama walivyo na hila, wanajaribu kila njia kuitoa mada "kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014" na kuupeleka wanapodhani wao kuwa wapo safe.

Wanajihadaa, eti wanaukwepa ukweli.

Nawauliza, ukweli unakwepeka?
muulize Arafat aliyeukwepa ukweli kuwa Israel ni Taifa la mungu!
 
ningejua anuani yako ningekutumia kadi isemayo ugua pole!

Tango73,
Kwani hujui namna ya kutumia JF?

Unaweza kunitumia kadi kupitia PM.
Ila kwa ''hilo ugua pole,'' itabidi usubiri hadi niwe mgonjwa.

Kuna movie ya Marlon Brando inaitwa ''Last Tango in Paris,''
itafute uitazame.
 
Unadhani Le Pen amefanya vizuri uchaguzi wa hivi karibuni kwa sababu gani? Waislamu Ujerumani wengi ni waturuki. Unajua ni wangapi wamepata uraia wa kijerumani? Unajua idadi ya raia wa kijerumani wenye asili ya Uturuki inazidi kushuka? Kuwepo kwao na kuwa na nguvu za kisiasa ni vitu viwili tofauti.

Amandla.....


Amandla......

hahahaha, burudika:

[video=youtube_share;sazJFMVNX70]http://youtu.be/sazJFMVNX70[/video]
 
gombesugu, nimepokea "notification" kwamba nimetajwa humu ndio maana nimeingia humu; hata hivyo nasikitika kwani kwa sasa wengine wetu tumetingwa na mjadala muhimu unaogusa maslahi ta taifa letu kuliko hizi porojo za barghashia na msalaba...hizo tunawaachia vijana wa mitaani. Siku huyo Mohamed Said atakapoanzisha mada yenye tija isiyo na harufu ya Udini, nishtue, lakini hizi za uchonganishi, chuki na fitna, big NO. Please, count me out for in the long run people might fail to notice the difference. Nakutakia siku njema.


William Lukuvi kanisani alikuwa nae ametingwa "na mjadala muhimu unaogusa maslahi ta taifa letu". Au sio?

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Mzee Mag3,

Sasa hujioni kwa attitude kama hii unakua umejifungia ndani ya box lako pekee!?...yaani unaogopa kuchomoka humo ndani ya comfort zone yako,au!?

Kwahiyo unataka kutuaminisha yakua watu takriban woote ambao weye unawapa chance ya kufanza nao majadiliano ya kitaaluma au hata ya kawaida...ni wale tu wenye mitazamo amma fikra zishabihianazo na zako!? Daah!

Sasa weye kama unadai yakua huyu Maalim Mohamed Said, ati ni "mtu hatari" sana kwa "Taifa lenu"!?...pia ni mtu "anaesababisha" migongano ndani ya nchi na shutuma nyanginezo kadhaa...ambazo mpaka kesho hamuwezi/mmeshindwa kuzithibitisha!? Je unakhis hivi kumkimbia na huku ati kususia kufanza nae mijadala ndo itaepusha hizo "hatari",mnazodai analeta hapo nchini!?

Kwanini msifanze ile positive engangement, which may lead into meaningful/constructive discussion with logical arguments,au!?

Mie binafsi nakhis weye kuamua kungia mitini, au kujaribu kumbeza mtu mzima na Mwanataaluma mwanzio Maalim Mohamed Said...basi hiyo yako ni irresponsible attitude na huna uzalendo asilan!...yaani unakimbia wajibu wako kwa Taifa,au!?

Tafadhali rejea hapa jamvini...njoo uje kuzungumza masuala yanayokhusu mustakabala wa Taifa na Wananchi wangine!

Hao Waislam au huyo Maalim Mohamed Said...ndo wenzenu hapo nchini hata mkifanza lolote/chochote...watabaki tu kuwa miongoni mwa Watanzania wenzenu! Sasa badili dasturi na uanze some sort of reconciliation and/or positive engagement with Maalim Mohamed Said!?

Hivi kama nyinyi Watanzania wenzetu ambao ndo wasomi wa Taifa hili na ndio tegemeo letu, yaani mnashindwa hata kuwa-flexible and tolerable to each other!?.... Je sisi Wananchi/Watanzania wenzenu wa hali ya chini tulio wengi, khasa sisi tulio huku vijijini na bila ya elimu ya kutosha!...je tufanze nini,jamani!? Daah!

Natumai utanifahamu japo kiduchu...na utaacha kusikiza hawa watoto waduchu hapa jamvini wenye kukuzidishia farka na migongano!

Ahsanta sana.
Mag3 ana Islamophobia kama William Lukuvi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom