Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

jbu bana ucwe na hasira. yana ukwel hayo lakn

Mie sina ghadhab wala hamaki,asilan abadan!

Najua hakuna hata kenge mmoja wa kigalatia atakaekuja na hoja yoyote yenye mantik!? Daah!

Hayo masuali ya mapepo kwanini huyo kiwete mwanzio wa fikra asiende kuuliza kwa yule haramia wenu aka Nabii Kakobe!?...kwani si ndo shughuli yake kuwatoa mapepo wake wa makafiri wanzie tena huku akiwaamrisha ati wawe utupu!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!

Hizi tender/issues za kutoa watu mapepo huko makanisani kwenu, si ndo imekua biashara yenu kubwa,au!?

Sasa huoni huko ndo nyinyi wenyewe mtaweza kupeana majawaba mazuri!?
 
Heko Punjab Signh

Wewe iko nakaa wapi siku hizi,kule kule newdelhi au umehamia islamabad?

Teh Teh Teh....

Oh Bhai mimi zunguka kidogo mama Amrita chokesha sana yeye taka business expansion mimi choka sana si.najuwa hii toto ya baba taifa Lumumba boys omba omba nyingi wizi haitoshi.

Wewe wapi iko hapana sikia siku nyingi mimi fikiria wewe rudi kijijini kule.
 
Oh Bhai mimi zunguka kidogo mama Amrita chokesha sana yeye taka business expansion mimi choka sana si.najuwa hii toto ya baba taifa Lumumba boys omba omba nyingi wizi haitoshi.

Wewe wapi iko hapana sikia siku nyingi mimi fikiria wewe rudi kijijini kule.

ha ha ha ha

Punjab Signh

Mimi iko nashangaa tumbiri kama lukuvi enda hubiri mfumo kristo kule makanisani..

Ha ha ha Eti nasahu kuwa nchii hii yetu sote,leo iko wao ota mapembe ati.

:redface: :redface:
 
wewe wacha upunguwani wa akili nani asiye jua haya waislam mnaajenda ya siri na Zanzibar

umenifurahisha sana na hiyo mifano yako kwa hiyo jamii ya kiislam haifanyi kazi za ndani kweli umepotoka
nani hasiyejua kwamba waarabu wanawapa hela za bure kwa lengo la kutekeleza malengo feki ya miaka miamoja mlio kubaliana pale Khartoum sudan miaka ya 1980+ ninahamini ipo siku mtayakimbia hayo majumba
haiwezekani mtu ameanza biashara ndani ya mwaka mmoja awe na uwezi wa kumiliki jengo la mill 800 si kweli na inavyo onesha kuna mkuu anayewalinda ndani ya hii serikali ila yanamwisho wake tu

Nyinyi makafiri kweli mnapenda hizo conspiracy theories! Duuh!

Khalaf mna hasada na vijicho vya kwanini/roho mbaya mno!? Daah!

Nanyi jishughulisheni...na mpunguze kuhujumu Taifa kwa rushwa,ufisadi na ubadhilifu!?

Nimecheka mno hiyo comment yako hapo...jinsi ati unavyostaajab maendeleo na majumba ya Waislam wanavyojengwa kwa haraka mno! Yaani wee kafiri una chuki na hasada saana! Looh!

Maisha yako yoote utaishia kuwa shoe-shiner tu wee!
 
Ooh Real??

Kumbe walioamuua ghadaffi,

Saddam hussein,

Wanaoendelea kuua watu iraq maelfu kwa maelfu kwa kigezo kile cha umiliki wa weapons of mass destructions na kadhalika ni waislam??

Walioua watu enz hizo world war 1 n 2 ni waislam kumbe??thats very interesting...

Wa walioua watu maelfu kwa maelfu huko hiroshima na nagasaki ni waislam eeeh??

Looks hata huyu joseph kony of LRA ni muislam si ndiyo??

Na huko Afrika ya kati waislam wanakouawa maelfu kwa maelfu na hawa ANTI BARAKA bila shaka wanauliwa na waislam wenzao eti eeh??

Hamkawii nyinyi kusema hata yesu kristo tumemuua sisi waislam..

Kwani nyinyi mna dogo??

Ila twendeni tuh tutafika.

😛hoto: 😛hoto: 😛hoto:

jiulize ni nani huyo ambaye anayafanya yote hayo kweli nimehamini elimu inamatter sana ndio mjue maana ya uzazi wa mpango na si kuzaa tu na kuoa wake zaidi ya kumi eti ili niwe wengi mtawale dunia?????? nani kakwambia kuwa mkiwa wengi ndio kuwa na power ya kutawala dunia
back to my point kote unapoona machafuko huko uarabuni ni root ya mmarekani na yote kwasababu ya hao viongozi kujifanya wanataka kutumia vijiela vya mafuta kutekeleza hayo malengo mliokuwa nayo nyie mnao jiita wasafi kila maali na huko mnaongoza kwa vijana wengi kuwa mashoga

na mjue kabisa lile bifu mlimlilolianzisha 1942 baada ya UN kurudisha taifa la mungu la Israel kwenye ardhi yake ndio hao mabwana zenu wakajifanya wajanja na kuanzisha bifu nawakristu duniani
jua hayo malengo yenu mliuokuwa nayo ndio yanapingwa na dunia ndio maana haya mataifa ya kiarabu yanaandamwa sana na mmarekani
ninamalizia kwa kusema hayo malengo yenu ya kifethuli ndio yanasababisha matatizo yote hayo ndani ya uislam na asilimia kubwa ya vijana wa kiislam hawajui historia ndio maana ni rahisi kushawishika na kufanya ujinga
 
Ritz,

I beg to correct you, they dont really love Nyerere and they dont have blind love for him. They use his name and legacy falsely and especially when they are connered with Truth like the truth TL dared to speak openly in that sacred place in Dodoma on live National TV.

IF THEY LOVE HIM THEY WOULD NOT THROW AWAY HIS LEGACY OF ARUSHA DECLARATION AND LEADERSHIP ETHICS, WHAT THEY ARE DOING IS CHERRY PICKING HIS POLICIES WHEN AND WHERE IT FITS THEIR PURPOSE.

100% correct! Out of this conflict TL will imerge an hero.
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwalim Nyerere anapendekeza mfumo wa kura tatu mwaka 1958 kule mkoani Tabora ,ilikuwa mbinu ya kanisa kutaka kushika hatamu.

Watu waliomfadhili Nyerere kama aki na Dossa Azizi,Abdulwahid Sykes na Mshume kiate wote akawageuza mateka ndani ya nchi waliyoipigania.

Haya ya Lukuvi yamezidi kuwafumbua macho waislaam waliokuwa katika usingizi mzito ,kuwa Mfumo Kristo hauna namna ya ku oparate zanzibar kama hakuna muungano.


Alichokisema Lukuvi ni ushahidi tosha wa chuki za wakatoliki dhidi ya Waislaam wa Tanzania.

Tatizo la wakristo wengi hawasomi vitabu baada ya kupata zile elimu za kupeana,Hata akija Askofu kuwahutubia wasomi wa kiwango cha uzamili na uzamivu hukuti wakihoji jambo lolote ,wanaburuzwa licha ya usomi wao.

Ukisoma kirabu kilichoandika na Padri Sivalone kiitwacho Kanisa katoliki na siasa Tanzania bara,Dr.Sivalone kaweka mambo yote wazi kama alivyoweka Likuvi kule kanisani.

Yote yaliyosemwa na ustadh Ilunga ,Shekh Ponda Issa Ponda,na Mashekh wa taasisi ya uamsho ni mafunzo tosha kwa mtu mwenye nia njema na nchi yetu.

Badala ya serikali kuyafanyia Kazi wakakimbili kuwakamata na kuwaweka gerezani na kumtumia Mkristo mwenzao mwenye siasa kali DPP Elieza Felishi kuwadhibiti kwa kuwanyima dhamana ili kuizima sauti ya waislaam isisikike.

Lkn kwa kuwa uwongo huwa haudumu hata siku moja,Yaleyale waliyoyasema Mashekhna kuitwa wachocheza yaliposemwa na aki na Tundu Lissu kanisa likatikisika na hatimae tukaletewa hati feki ya Muungano.

Sikumwona DPP akiamrisha Aki na Lissu wakamatwe kwa uchochezi na hii ndio chuki iliyopo hadharani na huhitaji kujitoa akili ili kumuelewa Mohammed Saidi.

Pamoja na kanisa kuasisi mfumo wa kinyonyaji,lkn tunaumia wote wakiwemoWakristo nawaislaam.

Watanzania wengi wapo vijijini na huko hakuna huduma za Afya ,Maji wala miundombinu bora.

Endeleeno kuwashangilia watu ambao hata Wabrazilwaliwakataa kutokana na historia ya unyonyaji.

Waislaam haturudi nyuma na kama mtatumia mabavu kuendelea kutukandamiza,tupo tayari kushika silaha ili tukose wote,hakuna mtu mwenye hati miliki ya Tanzania,waislaam hawana cha kupoteza tena mbele ya mfumo kandamizi uliodumu kwa miaka hamsini.
 
ha ha ha ha

Punjab Signh

Mimi iko nashangaa tumbiri kama lukuvi enda hubiri mfumo kristo kule makanisani..

Ha ha ha Eti nasahu kuwa nchii hii yetu sote,leo iko wao ota mapembe ati.

:redface: :redface:

This is 21st Century no where to hide from the dot.com society oriented real time communication.
 
kunawatu kulidhika mpaka siku watakapoua wakristo wote duniani. just apocalypse islam
 
100% correct! Out of this conflict TL will imerge an hero.

Mkuu,

Hivi una ujamaa wowote na wale akina Mutakyahwa!?

Nawatafuta hawa jamaa saana tu! Walikua ni majirani zetu tuliishi nao vizuri mno na tukipendana/tukihishiana mno!

Hata hivyo,kitambo kingi kimepita na nalipoteza contact details zao!? Daah!

Kama utapata taarifa zozote naomba uni-inbox Mkuu plse!

Shukran!
 
Haika,
Ikiwa utaanzia hapo hakika hutoona kile kilichojificha.

Lakini ikiwa utaangalia historia nzima ya Zanzibar hapo ndipo utakutana na
mengi.

Nakushauri hebu pitia uzi za nyuma kuna mengi nimeeleza kuhusu Zanzibar.

Najua historia yetu inahusisha watu wa dini mbalimbali. Sehemu ndogo sana haikuhusisha watu wa dini. Na kwa kuwa WALIAMINI katika dimi zao. Waliongozwa na imani yao kutenda mema.
Haiyumkiniki kuwa waligombania uhuru kuimarisha dini zao. La ila walikuwa wameiva kiimani ndio sababu wakaweza kufanya walichofanya na kwa hakika wamepata baraka.
Shida ni sisi wajukuu tusio na imani ya kweli kwa muumba wetu. Tunadhaniajina ya kikristu au kiislamu. Au mazuri ya wazee wetu yanatusimamia.
Tunachotakiwa kurudi katika mafundisho ya imani zetu. Kuona jinsi tunavyotakiwa kuishi.
Kosa la mwenzangu halitakiwi kuniyumbisha katika nia yangu ya uaminifu kwa muumba.
 
WEWE bin adamu, great thinkers wanakata maswala wewe unaleta madrasa humu- ni wakati wa kuamka-kumepambazuka,yaliyopita yamepita wewe umeshachelewa hakikisha wanao wanaenda shule,iwe mwiko kuwaoza wakiwa bado wadogo

Nimekupa solution ya matatizo yanayokusibu. Niamini hujachelewa fuata ushauri wangu. Kila la heri
 
kunawatu kulidhika mpaka siku pwatakapoua wakristo wote duniani. just apocalypse islam

Mkuu,

Hiyo statement yako ni woga uliofungamana na upotoshaji!? Daah!

Hakuna kitu kama hicho katika imani ya Kiislam Mkuu!

Nakuhakikishia yakua Waislam...kama hawajachokozwa au kunyimwa haki zao za msingi...ni watu waadilifu mno!

Labda weye unazungumzia ile topic ndefu mno na very complex...ya self-defense in Islam,au!?

Usijitishe Kamanda! Waislam ni wana-Adam wema mno na wastaarabu...kama vile wana-Adam wangine wowote tu wale!?

Au nikuwekee picha Mkuu!? Daah! Teeeh! Teeeh! Teeeh!
 
JINI NI NINI?
Katika lugha ya kiarabu, neno jini linamaanisha
kitu kilichofichwa au kisichoonekana QURAN
1:7.1 Neno hili hutumiwa na Waarabu kwa ajili
ya kutaja jina fulani. Kwa Waarabu, Jini
anayevaa sura ya kike humwita Jinivya, hivyo
majini Ghul/Ghilan, nao hujifunua kwa sura ya
kike.
Katika imani ya Kiislamu, wao huamni kwamba
Majini hutofautiana na Mashetani. Majini
waliosilimu wao huitwa majini mazuri na hawa
wakiwa katika hali kujionyesha kwa wanadamu,
hao huitwa AJINU na wale walioacha kusilimu
mwaka 610 AD (Baada ya Kristo) katika safari
ya mtume Muhamad alipotoka Taifa , wao
wanaitwa Mashetani . Hivyo, wao wanapokuwa
katika hali ya kutoonekana huitwa ALBAHATWA
lakini pia Majini wote wanapokuwa katika hali
ya kutoonekana waweza kuitwa ALBAHATWA,
yaani PEPO.
Muislamu huamini kwamba kuna majini ya kike
na kiume. Lakini pia , huamini kuwa Majini
huoana na kuzaliana QURAN 55:56 na kuwa
Majini huzaa sana kuliko binadamu na kwamba,
Jini mmoja anaweza kuzaa watoto 300, na
kuwa Jini huzaa watoto 3 hadi 4 kwa mkupuo.
Somo QURAN 55:26-28 na kuwa Majini
wanaweza kuishi miaka 400-1,000 kisha
wanaweza kufa. Tofauti yao na binadamu ni
kwamba wao wanaishi miaka mingi kuliko
binadamu. Lakini pia, huamini kuwa wapo
Majini wanaokula, wanaomeza, wanaokunywa,
ila tofauti yao na wanadamu ni kwamba wao
hula kwa kutumia mkono wa kushoto. Pia
hiamini kuwa Majini wana uwezo wa kuzaa na
Wanadamu. Soma QURAN 17:64. Waislamu
huamini kwamba mtu anauwezo wa kuoa au
kuolewa na Jini bila kujua, na mwanadamu
anauwezo wa kumuua Jini. Soma QURAN
57:14-15
SURATULJINN
Ndani ya QURAN pia imo sura inayoitwa
Suratuljinn ( QURAN 72 ). Sura hiyo huitwa
hivyo kwa sababu ni sura ya Majini (Mapepo).
Kwa nini wanatajwa Majini katika imani ya
Kiislamu?
Majini wanatajwa sana katika dini ya Kiislamu
kwa kuwa ni waislam kwa kusilimu, kwa
kuiamini Quran tukufu aliyopewa mtume
Muhamad.. Majini walisilimu na kuwa Waislamu
mwaka 620 AD(Baada ya Yesu) 72:1-14
QURAN. Hivyo basi, unapotumia neon jinni
maana yake unatumia lugha ya Kiarabu
ukimaanisha Pepo mchafu. Ni kama Spoon/
kijiko, vyote ni kitu kimoja. Ndani ya Quran,
neon “PEPO” limetumika kama Paradiso,
mbinguni. Lakini pia, tunapata neon jingine
liitwalo AKHERA ila neon hilo halimaanishi
PARADISO, bali kwa lugha ya Kiarabu neon hili
“AKHERA” lina maana ya KUZIMU. Lakini pia
ukiangalia ndani ya SURALJINN ( QURAN
72:1-2, 8-9, 12 ) Mapepo hawa wanajieleza
waziwazi kabisa kuwa mwanzo waliishi
Mbinguni, walipogeuka kwa kuasi, walitegwa na
Mungu. Linganisha na maandiko haya katika
Biblia ( UFUNUO WA YOHANA 12:7-9; YUDA
1:6-8; UFUNUO 20:10; UFUNUO 21:8 ). Kwa
mujibu wa dini ya Kiislamu, hawa majini
( Mapepo ) waliotegwa na Mungu Mbinguni
wakiwa Malaika huko na kutupwa Duniani
baada ya kuasi huko, sasa, wakati wa mtume
Muhamad katika safari yake ya kurudi Taifa
mwaka 620 AD (baada ya Yesu) wapo
walioamini na kuona kuwa Quran ni ya ajabu ya
kuwatangazia neema ya kuabudu. Katika vol
8-9, husema , wanapojaribu kwenda Mbinguni
( walikotoka zamani ), hukuta ile Mbingu
imezungushiwa vimondo vya moto. Hivyo, hudai
kuwa mbingu yao iko Akhera, yaani Kuzimu,
maana Mbingu ya juu ina moto na hawana
uwezo wa kwenda huko. SOMA ( QURAN 72:9 ),
Mbingu ina utisho wa moto ila Akhera
( kuzimu ) hakuna shida kwao .
Hivyo basi, kulingana na jinsi Allah asemavyo
ndani ya Quran kuwa nimeumba binadamu na
majini ili muniabudu ( QURAN 57:58 ; 51:56) na
kuwa , mbinguni mwao Majini wamo waabuduo
(Majini waliosilimu mwaka 620 AD ,SOMA
QURAN 72:14, ambao ni wema wanaosafiri na
kurithi uzima wa milele upatikanao Akhera
( Kuzi mu ). Lengo kubwa la Shetani na Majini
ni kufanya urafiki na wanadamu wengi ili kwa
wingi huo apate watu wengi wa kwenda nao
JEHANAMU ( QURAN 6:128 ). Jambo la
muhimu kujua hapa ni kwamba moto wa milele
hakuwekewa Mwanadamu bali ni Shetani na
malaika zake wote ( Majini au mapepo ). Hawa,
hawana nafasi tena ya kuungama au kutubu.
Yesu Kristo hakuwa na urafiki wowote na
Shetani wala Mapepo ( Majini ), aliyaamuru
kutoka ndani ya watu waliokuwa wakiteswa
nayo ( MATHAYO 8:29: MARKO 5 N,K )
Wakati Yesu anaondoka hapa duniani,
alichukuliwa na wingu na kupaa kuelekea juu.
Mbinguni ni juu kama Quran inavyothibitisha.
Yesu aliweza kupaa na kuingia Mbinguni lakini
Majini ( Mapepo ) waliosilimu wakijaribu tu,
wanakutana na moto mkali. Tumeona kuwa
Majini ambao ni Waislamu kwa kusilimu,
wanaishi AKHERA yaani Kuzimu. Je, Waislamu
wengine unadhani wataishia wapi milele?

Kweli wewe ni chizi kama jina unalotumia humu linavyoonesha. Aidha habari hizi ni vyema ukawapelekea wachungaji wako ambao kila kukicha wanatangaza habari za mapepo huenda mkasaidiana kwa hili.

Kwa kifupi Kitabu Kisichoshaka hukijui ni vyema ukaomba tukuelekeze kuliko kukaa ukiendelea kudanganywa na hao wanaokuchunga.

Kwa taarifa yako sisi Waisilamu hakuna jambo tunalofanya bila kuanza na kumlaani shaytwaan sasa nambie nyie huko kanisani kwenu mnafanya hilo? Hapa ndio ninazidi kupata mashaka juu yenu maana kwenu shaytwan inaonekana mwamkubali sana. Nambie ni wapi mnaanza na kumlaani shaytwaan?

Ushauri nimeutoa kwa mwenzako fuatilia utaona na ni vyema hata wewe ukaamka sasa hivi.
 
Huo sasa ni uchochezi dont do that young man!

Wee mtoto!

Nani alokufunda kuita Watu Wazima/Wazee hapa jamvini ati young man!?

Ule uchochezi wa kafiri Lukuvi uliukemea!? Au umeona huu tu!? Ebo!

No one is advocating violence and/or physical force here!

So,STOP exaggerate things! Ok!?
 
Huo sasa ni uchochezi dont do that young man!

I am? How you sure are you? Do you know me, my age and what I stand for? Do you think people need my prodding to come to their senses after long 53 years of abuse by the rulling elite?
 
Back
Top Bottom