Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Kutoka kofia ya barghashia ya Nyerere 1964 hadi msalaba wa William Lukuvi 2014

Je wadhani kuvaa kofia ndio uislam au kuvaa msalaba ndio ukristo? vitu hivyo vilikuwepo hata kabla ya uwepo wa dini hizo.Ni kweli kuwa uislam unasambaa kwa kasi na mbinu nyingi duniani na ni ukweli pia ukristo umekumbana na vipingamizi vingi vilivyotishia kuuua na mara zote imeendelea kuwepo na ni masihi (kristo)mwenyewe atakayemwangamiza masihi-dajjal na kuwahukumu watu wote, pamoja na wale ambao hawakumwamini. Hata hivyo ninapenda kukujulisha kuwa kwa Tanzania, wakristo au waislam halisi ni wachache kuliko tunavyodhani kwani wengi wao ni washirikina, kinyume na mafundisho ya dini. Pamoja na yote hayo, Tanzania na watanzania kwa sasa hawahitaji (hawana hitaji la) udini au ukabila au ukanda au ubaguzi wa aina yoyote na uchochezi wowote ule hauna faida kwa yeyote miongoni mwetu. Sote tunahitaji ukombozi wa kweli dhidi ya umaskini, ujinga, maradhi na ufisadi.

Kuvaa kofia na msalaba ni lugha tu hio...kiswahili ndugu yangu kina wenyewe kama hujui uliza
 
Huko makanisani ambako lukuvi alikuwa anamwaga hizo lahaja zake za udini mbona nyinyi wahubiriwa na maaskofu wenu mlikuwa mnashangilia??

Kama sio chuki tuite kitu gani??

Bado unaonyesha jinsi gani upeo wako ulivyo mdogo, Tanzania ina makanisa mangapi ya katoliki na huyo Lukuvi ameenda makanisa mangapi na kushangiliwa?

Ina maana ukitokea ujinga fulani kwenye msikiti mmoja au miwili ya sehemu fulani wewe utasema waislamu wa Tanzania nzima wamefanya ujinga huo??? Hizo chuki za kidini hazitaifikisha popote nchi yetu, narudia tena somesheni watoto waje wafikirie namna ya kutatua matatizo ya kiuchumi sio ku-create chuki za kidini ambazo hazijawahi kusaidia mahali popote duniani!!!
 
haha..waislam wapo busy kwa distribution yao....hawajajiuliza waislam wangapi wanakuwa wakristu..hata TZ tuu waislam wanaingia ktk makanisa ambayo hayana hata Muda wa kuinjilisha wageni km Catholics..wakatoliki kwa muda mrefu tuu hawakuwa aggressive kuingiza waumini wapya..ila kwa kweli idadi ya waislam wanaoingia ukatoliki ni wengi sana..Hawajajiuliza wakristu wangapi wanaokuwa waislam wanarudi ktk Ukristu baada ya kipindi cha chini ya Mwaka.

Nicholas,
Katika miujiza ya Allah mmojawapo ni huu.
Hasomi mtu akamaliza angalau Juzuu Ama akaritadi.

Fanya uchunguzi utagundua.

Ukisikia ati ''sheikh'' kasilimu basi jua huyo hajapata
kuwa hata maalim.

Mifano tunayo mingi sana.
 
Kwa hiyo hii thread maudhui yake ni Tanganyika na Zanzibar au Ukristo na Uislamu?
 
Mimi ni mkristo na kwa kweli sifurahishwi kabisa na shutuma za waislamu dhidi ya wakristo maana zinachochea kuchukiana katika ngazi ya chini kabisa na hivyo kutengeneza mazingira ya civil unrest na genocide. Lakini baada ya kauli ya Pengo, Lukuvi na Mtetemela nimeanza kujiuliza hivi kuna ukweli katika hoja za waislamu kuhusiana na mfumo wa utawala. sie wakristo wengine na hasa wapentekoste hatujawahi kuwa sehemu ya mfumo huu. Hata kama kuna manufaa hawa maskofu wanapigania basi huwa wanafaidi peke yao kwa siri. Swali langu wana maslahi gani na mfumo huu uliopo mbona wanautetea kufa na kupona?

Hivi ile hotuba ya Lukuvi Kanisani unaitaje ile? wewe ile umefurahia?
 
Kwa hiyo hii thread maudhui yake ni Tanganyika na Zanzibar au Ukristo na Uislamu?

Unaonesha hujaisoma nyuzi wala post. Kusoma huwezi basi hata picha huoni? Soma kichwa cha habari, kinajieleza vya kutosha.
 
Bado unaonyesha jinsi gani upeo wako ulivyo mdogo, Tanzania ina makanisa mangapi ya katoliki na huyo Lukuvi ameenda makanisa mangapi na kushangiliwa?

Ina maana ukitokea ujinga fulani kwenye msikiti mmoja au miwili ya sehemu fulani wewe utasema waislamu wa Tanzania nzima wamefanya ujinga huo??? Hizo chuki za kidini hazitaifikisha popote nchi yetu, narudia tena somesheni watoto waje wafikirie namna ya kutatua matatizo ya kiuchumi sio ku-create chuki za kidini ambazo hazijawahi kusaidia mahali popote duniani!!!

Tusomeshe watoto mara ngapi??

Kwan hii single yenu hadi leo bado tuh haijachuja??

Tukisomesha madoctor kama Alhaj Dau tukawapa mashirika makubwa makubwa kama NSSF na wakaanza kudelivere mnaaanza kulalama mara udinii udiniii..

Sasa mkitakaje??kila mahala pawepo na huo mfumo kristo??

Mmevurugwa nyinyi,alichokisema lukuvi hiko ni kama punje tuh ya yaliyojificha mioyoni mwenu.
 
Nicholas,
Katika miujiza ya Allah mmojawapo ni huu.
Hasomi mtu akamaliza angalau Juzuu Ama akaritadi.

Fanya uchunguzi utagundua.

Ukisikia ati ''sheikh'' kasilimu basi jua huyo hajapata
kuwa hata maalim.

Mifano tunayo mingi sana.

Naam...

Swadakta kabisa.
 
Porojo za mitaani. Nchi yenye waislamu wengi Ulaya ni Ufaransa na wengi ni wakimbizi. Serikali ya huko na wananchi wake wameishawastukia ndio maana Le Pen amefanya maajabu safari hii. Hali kadhalika Uingereza.

watanzania wengi waliojilipua ni kutoka Zanzibar, waislamu wenzako. Cha kujiuliza ni kwa nini wanajilipua katika nchi za magharibi badala ya nchi za kiislamu kama Afghanistan, Pakistan, Yemen, Somalia n.k.!

Kambi kubwa ya wakimbizi duniani iko Dabaad nayo imejaa waislamu wanaowakimbia waislamu wenzao.

Amandla.......

Wakijiripua kutoka Zanzibar wewe unashangaa au unawalaumu? Chris Lukosi ni Mzanzibari? hukumbuki mauaji na kuteswa walikofanyiwa? jikumbushe:

http://www.zanzinet.org/events/zanzibar_violence_april2005.ht ml

[video=youtube_share;kTEUfVXrHDE]http://youtu.be/kTEUfVXrHDE[/video]

Kama kusoma huwezi basi hata picha huoni?
 
Last edited by a moderator:
Fundi Mchundo,
Mimi hupenda kuandika jambo kwa makini na bila mzaha kwa kuwa siko hapa
kufanya mchezo.

Nakusihi unichukulie hivyo ili tuwe na mjadala wa manufaa utakaoelimisha na
labda Allah akipenda kuinusuru nchi yetu.

Katika kitabu changu, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968)
The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism,'' bila hofu
nimezungumza mengi ambayo yalikuwa mwiko kusemwa.

La kwanza ni kuwa Nyerere hakuasisi TANU na muaisisi wa chama kile ikiwa
tutamchukua mtu mmoja katika lile kundi la ile kamati ya ndani basi aliye aula
zaidi ni Abdulwahid Kleist Sykes.

Hili lilizua kishindo kikubwa sana na bado vumbi lake halijatulia kote nipitapo hili
swali lazima litajitokeza.

La pili nililosema ni kuwa kumekuwa na njama ya kuivuruga historia ya uhuru
wa Tangayika.

La tatu na hii ni mwisho wa kitabu nilieleza kuwa Kanisa Katoliki na Nyerere
kutoka uhuru upatikane wamekuwa katika vita dhidi ya Uislam Tanzania na
hapa ndipo unapoingia mgogoro wa EAMWS.

Haya ni maneno mazito na ukiyasema kama nilivyoyasema mie lazima uwe na
ushahidi madhubuti.

Kitabu changu kimejaa ushahidi wa haya.
Kila aliyejaaliwa kukisoma kitabu hiki alibaki kinywa wazi.

Ndiyo maana hadi leo kutoka kitabu kichapwe mwaka 1997 hajatokea mtu
yoyote kukipinga kwa kuandika huo unaosemekana ni ''ukweli.''

Palikuwa na ugomvi kati yangu na mchapaji (publisher) nilianza kitabu kwa
kuanza na maneno haya:''Bismillah Rahmani Rahim,'' akaniuiza kwa nini nataka
kuanza ''an academic work with religious undertones?''

Mhariri wa kitabu hiki alikuwa Prof. mmoja mwanamke wa Kiingereza.

Nilimjibu nikamwambia haya ninayosema nataka Allah ndiye awe shahidi yangu
wasije watu wakasema kuwa mimi ni muongo.

Ushauri wake kwangu ulikuwa kitabu kimejitosheleza hapana haja ya kufanya
hivyo.

Mimi niliamini kuwa eyote amuaminiye Mungu akiona nimemtanguliza katika kauli
yangu atajua kuwa sifanyi mchezo nisemayo ni kweli na kweli tupu.

Sasa kisa cha Nyerere na EAMWS na Karume umtajae ni kisa nakijua vyema
sana.

Katika mkasa huo wa EAMWS Karume alifikia kumkufuru mola wake.

Karume yuko mbele ya Allah itoshe tu kuuombea dua Allah amsamehe madhambi
yake.

Ndiyo maana Nyerere kafa hakutaka anasibishwe na Abdu Sykes wala na mdogo
wake Ally katika kuuunda TANU pamoja na wazalendo wengine takriban sasa wote
wako mbele ya haki.

Katika mazingira kama haya ndiyo maana historia ya TANU haimtaji popote Sheikh
Hassan bin Amir
wala Sheikh SuleimanTakadir...

Ndiyo maana hadi leo hakuna historia ya uhuru ukitoa kitabu changu ambacho
''publishers'' wote nchini walikiogopa nikaenda kukichapa Uingereza.

Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Haroub Othman na Dk. Kamata walikuja kunihoji
kuhusu Nyerere kwa kuwa wao wanaandika maisha ya Mwalimu Nyerere.

Tulifanya session tatu na mazungumzo yetu yanakaribia dakika 180.

Mimi niliwashauri kuwa waende kwa Mama Maria Nyerere atawaeleza historia
ya TANU kama alivyoishuhudia kwa jicho lake kuanzia mwaka 1953.

Hiyo itajazilia mazungumzo yangu.

Nikawaambia kuwa kwa kuwa siku nyingi zimepita wanaweza kuamsha kumbukumbu
za Mama Maria kwa kumkumbusha mashoga zake wawili Bi Mwamvua bint Masha
(Mama Daisy) na Mwalimu Sakina bint Arab kwani mengi walifanya pamoja wakati
wa kudai uhuru.

Fundi Mchundo,
EAMWS haikupingwa na Muislam yoyote na ushahidi upo.

Wakati wa mgogoro ule mwaka 1968 hapo TANU New Stret Baraza la Wazee wa
TANU lililokuwa chini ya Mwenyekiti wake Mzee Iddi Tulio lilikuwa lishavunjwa na
Nyerere mwaka 1963 kwa kisingizio cha ''kuchanganya dini na siasa.''

Hawa ndiyo waliompeleka Nyerere Umoja wa Mataifa (UNO) mwaka 1955.

Hapakuwa na watu wa maana tena pale.

Yako mengi lakini haya niliokueleza nadhani yameshakupa picha unazungumzana
nani.

Napenda kumaliza kwa kukueleza kuwa jana nilitembelewa na mwanafunzi ambae
anafanya shahada ya uzamili na katika kukamilisha shahada yake anatakiwa aafanye
utafiti.

Alinihoji kuhusu Sheikh Hassan bin Amir.
Nilimwekea mhadhara mmoja niliotoa Zanzibar kuhusu Sheikh Hassan bin Amir.

Ghafla nimemuona kijana kajiinamia machozi yanamlengalenga.
Unajua wewe mzee unavyofundisha mpaka mtu wa darasa la chini au yule ajaenda shule kabisa anakuelewa vizuri.
 
Kumbe wewe ndio Ngongoseke? Mpunguze basi hizo ID.

Muulize huyo Al Alama Mohamed Said kuhusu mahusiano ya karume na hiyo EAMWS? Na unajua nani alianzisha hiyo EAMWS na kwa nini waswahili katika TANU waliipinga?

Unazungumzia ule msingi uliokuwa Chang'ombe, pesa mkazinywa na baadae mkadhulumiana wenyewe.

Au unazungumzia Chuo Kikuu chenu kinachotia fora mlichopewa baada ya Kafir mmoja kuchukua mali ya umma na kuwapa?

Amandla.....

Hhahahaha, usirushe, ngoja upewe khabari za EAMWS, si aliianzisha Nyerere au sio?
 
Nakushangaa wewe muislamu unachukua fear-mongering ya British Nationalists kama ushahidi wa kuongezeka kwa waislamu Uingereza. Mwandishi nia yake ni kuwatisha waingereza ili wawabane mbavu waislamu. Kitu ambacho ni dhahiri wamefanikiwa ukiangalia kupanda chati kwa UKIP na wakina Cameroon kuanza kutamka kuhusu ukristu wa uingereza. Matokeo yake ni kuwa hizo viza mnazojipanga kuanzia usiku wa manane hamta zi pata, ndugu zenu waliojilipua watatafutiwa kila sababu watimuliwe n.k. Ufaransa nako vile vile. Wadachi walianza zamani. Na hata Norway wako njiani kuwashughulikia. Nyinyi mnabaki kushangilia kuwaua mapadri na kuchoma makanisa huku kwetu bila kujua athari zake.

Amandla......


Na hawa walichukuwa visa ya Uingereza:


Halafu SubhanaAllah, wanawake wa Kizungu weupe pee, ndiyo wanaoingia kwa makundi Uingereza, hakika Mipango ya Allah ni amazing, unajuwa kwanini wanawake wanaingia Uislaam kwa wingi Europe?


Convert: Lauren Booth the sister-in-law of Prime Minister Tony Blair​



Hicho ndicho kinachowatisha, soma post namba 1 vizuri.

Naona unafanya kila hila, kuuhamishai mjadala Europe na Duniani, hebu turudi Zanzibar na Kilindi.

Jee, umefurahishwa na hotuba ya William Lukuvi Kanisani?
 
Na hawa walichukuwa visa ya Uingereza:


Halafu SubhanaAllah, wanawake wa Kizungu weupe pee, ndiyo wanaoingia kwa makundi Uingereza, hakika Mipango ya Allah ni amazing, unajuwa kwanini wanawake wanaingia Uislaam kwa wingi Europe?


Convert: Lauren Booth the sister-in-law of Prime Minister Tony Blair​



Hicho ndicho kinachowatisha, soma post namba 1 vizuri.

Naona unafanya kila hila, kuuhamishai mjadala Europe na Duniani, hebu turudi Zanzibar na Kilindi.

Jee, umefurahishwa na hotuba ya William Lukuvi Kanisani?
Kwa hiyo huyu jamaa roho inamuuma sana wazungu kuwa waislam.
 
JINI NI NINI?
Katika lugha ya kiarabu, neno jini linamaanisha
kitu kilichofichwa au kisichoonekana QURAN
1:7.1 Neno hili hutumiwa na Waarabu kwa ajili
ya kutaja jina fulani. Kwa Waarabu, Jini
anayevaa sura ya kike humwita Jinivya, hivyo
majini Ghul/Ghilan, nao hujifunua kwa sura ya
kike.
Katika imani ya Kiislamu, wao huamni kwamba
Majini hutofautiana na Mashetani. Majini
waliosilimu wao huitwa majini mazuri na hawa
wakiwa katika hali kujionyesha kwa wanadamu,
hao huitwa AJINU na wale walioacha kusilimu
mwaka 610 AD (Baada ya Kristo) katika safari
ya mtume Muhamad alipotoka Taifa , wao
wanaitwa Mashetani . Hivyo, wao wanapokuwa
katika hali ya kutoonekana huitwa ALBAHATWA
lakini pia Majini wote wanapokuwa katika hali
ya kutoonekana waweza kuitwa ALBAHATWA,
yaani PEPO.
Muislamu huamini kwamba kuna majini ya kike
na kiume. Lakini pia , huamini kuwa Majini
huoana na kuzaliana QURAN 55:56 na kuwa
Majini huzaa sana kuliko binadamu na kwamba,
Jini mmoja anaweza kuzaa watoto 300, na
kuwa Jini huzaa watoto 3 hadi 4 kwa mkupuo.
Somo QURAN 55:26-28 na kuwa Majini
wanaweza kuishi miaka 400-1,000 kisha
wanaweza kufa. Tofauti yao na binadamu ni
kwamba wao wanaishi miaka mingi kuliko
binadamu. Lakini pia, huamini kuwa wapo
Majini wanaokula, wanaomeza, wanaokunywa,
ila tofauti yao na wanadamu ni kwamba wao
hula kwa kutumia mkono wa kushoto. Pia
hiamini kuwa Majini wana uwezo wa kuzaa na
Wanadamu. Soma QURAN 17:64. Waislamu
huamini kwamba mtu anauwezo wa kuoa au
kuolewa na Jini bila kujua, na mwanadamu
anauwezo wa kumuua Jini. Soma QURAN
57:14-15
SURATULJINN
Ndani ya QURAN pia imo sura inayoitwa
Suratuljinn ( QURAN 72 ). Sura hiyo huitwa
hivyo kwa sababu ni sura ya Majini (Mapepo).
Kwa nini wanatajwa Majini katika imani ya
Kiislamu?
Majini wanatajwa sana katika dini ya Kiislamu
kwa kuwa ni waislam kwa kusilimu, kwa
kuiamini Quran tukufu aliyopewa mtume
Muhamad.. Majini walisilimu na kuwa Waislamu
mwaka 620 AD(Baada ya Yesu) 72:1-14
QURAN. Hivyo basi, unapotumia neon jinni
maana yake unatumia lugha ya Kiarabu
ukimaanisha Pepo mchafu. Ni kama Spoon/
kijiko, vyote ni kitu kimoja. Ndani ya Quran,
neon “PEPO” limetumika kama Paradiso,
mbinguni. Lakini pia, tunapata neon jingine
liitwalo AKHERA ila neon hilo halimaanishi
PARADISO, bali kwa lugha ya Kiarabu neon hili
“AKHERA” lina maana ya KUZIMU. Lakini pia
ukiangalia ndani ya SURALJINN ( QURAN
72:1-2, 8-9, 12 ) Mapepo hawa wanajieleza
waziwazi kabisa kuwa mwanzo waliishi
Mbinguni, walipogeuka kwa kuasi, walitegwa na
Mungu. Linganisha na maandiko haya katika
Biblia ( UFUNUO WA YOHANA 12:7-9; YUDA
1:6-8; UFUNUO 20:10; UFUNUO 21:8 ). Kwa
mujibu wa dini ya Kiislamu, hawa majini
( Mapepo ) waliotegwa na Mungu Mbinguni
wakiwa Malaika huko na kutupwa Duniani
baada ya kuasi huko, sasa, wakati wa mtume
Muhamad katika safari yake ya kurudi Taifa
mwaka 620 AD (baada ya Yesu) wapo
walioamini na kuona kuwa Quran ni ya ajabu ya
kuwatangazia neema ya kuabudu. Katika vol
8-9, husema , wanapojaribu kwenda Mbinguni
( walikotoka zamani ), hukuta ile Mbingu
imezungushiwa vimondo vya moto. Hivyo, hudai
kuwa mbingu yao iko Akhera, yaani Kuzimu,
maana Mbingu ya juu ina moto na hawana
uwezo wa kwenda huko. SOMA ( QURAN 72:9 ),
Mbingu ina utisho wa moto ila Akhera
( kuzimu ) hakuna shida kwao .
Hivyo basi, kulingana na jinsi Allah asemavyo
ndani ya Quran kuwa nimeumba binadamu na
majini ili muniabudu ( QURAN 57:58 ; 51:56) na
kuwa , mbinguni mwao Majini wamo waabuduo
(Majini waliosilimu mwaka 620 AD ,SOMA
QURAN 72:14, ambao ni wema wanaosafiri na
kurithi uzima wa milele upatikanao Akhera
( Kuzi mu ). Lengo kubwa la Shetani na Majini
ni kufanya urafiki na wanadamu wengi ili kwa
wingi huo apate watu wengi wa kwenda nao
JEHANAMU ( QURAN 6:128 ). Jambo la
muhimu kujua hapa ni kwamba moto wa milele
hakuwekewa Mwanadamu bali ni Shetani na
malaika zake wote ( Majini au mapepo ). Hawa,
hawana nafasi tena ya kuungama au kutubu.
Yesu Kristo hakuwa na urafiki wowote na
Shetani wala Mapepo ( Majini ), aliyaamuru
kutoka ndani ya watu waliokuwa wakiteswa
nayo ( MATHAYO 8:29: MARKO 5 N,K

Nilushukuru sana kwa elimu yako ndugu na bila shaka ulipata kuwa muislam huko nyuma na ndio maana umeeza kuyajua yote haya.

Sasa mimi ombi langu ni moja tu nataka kujua juu ya hii inayoitwa ALBADIRI samahani kama sijaandika sahihi

Je hii sara anaweza kuomba muislam kwa mtu yeyote hata asiye muislam.

Je muislam anapoomba sara hiyo dua zake huzielekeza kwa nani ALLAH au JINI

Je sara hiyo hufanywa kwa matokeo yoyote kiwe kif,ugonjwa au ulemavu.

Je muislam ni mpaka atendewe nini ndipo aitumie sara hiyo je hata kwa tusi aweza kuitumia sara hiyo kukudhuru.

BACK TANGANYIKA

Du. Inatisha
 
Na hawa walichukuwa visa ya Uingereza:


Halafu SubhanaAllah, wanawake wa Kizungu weupe pee, ndiyo wanaoingia kwa makundi Uingereza, hakika Mipango ya Allah ni amazing, unajuwa kwanini wanawake wanaingia Uislaam kwa wingi Europe?


Convert: Lauren Booth the sister-in-law of Prime Minister Tony Blair​



Hicho ndicho kinachowatisha, soma post namba 1 vizuri.

Naona unafanya kila hila, kuuhamishai mjadala Europe na Duniani, hebu turudi Zanzibar na Kilindi.

Jee, umefurahishwa na hotuba ya William Lukuvi Kanisani?

Huyu ndiye huyo Lauren Booth unayejivunia.
Lauren Booth 'stole my husband - and destroyed my home': Distraught wife accuses activist of betraying her new faith | Mail Online

Amemtosa mume wake baada ya kupata ajali. Ameingilia ndoa ya mtu aliyemkaribisha na kumnyang'anya mume. Kama hawa (Lauren na Samantha Lewthwaite) ndio converts mnaojivunia basi kweli dini yako ina matatizo.

Baada ya kuwasikia mnavyomwaga sumu humu, nimeanza kumuelewa Lukuvi na kuwa na sympathy nae kuwa angalau amesababisha mtoke chini ya mawe mlikokuwa mmejificha.

Amandla....

[h=1][/h])
 
Back
Top Bottom