johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz wao 🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛🪛Bwasheee sisi tutafia migombani kuliko kufia singida ni mwendo wa kuliwa na mafisi!
HakikaFikiria Mwenyekiti wa Chadema aliyekuwa kazungukwa na Wasomi wabobevu kama washauri sasa Washauri wake ni Mwanamuziki wa kufokafoka Sugu Moto Chini, Mlanguzi wa mifugo ya Mpakani Dalali Wenje na mume wa mbunge wa COVID 19 Mzee Kigaila
Unaweza Kupata picha ya ugumu wa kisiasa anaokutana nao Freeman Mbowe Kwa sasa
Na ndio sababu Katibu mkuu Mh Mnyika kazi zake anafanyia Kanisani na ushauri anapata huko huko Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Na uwezekano mkubwa Lisu akiondoka na Mnyika atashauriwa Aondoke na hawezi kukataa kulitii Kanisa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 2025
Chadema ni Wapinzani wa Mchongo 😄🔥
Mbowe ametuchuuza muda mrefu sana.Fikiria Mwenyekiti wa Chadema aliyekuwa kazungukwa na Wasomi wabobevu kama washauri sasa Washauri wake ni Mwanamuziki wa kufokafoka Sugu Moto Chini, Mlanguzi wa mifugo ya Mpakani Dalali Wenje na mume wa mbunge wa COVID 19 Mzee Kigaila
Unaweza Kupata picha ya ugumu wa kisiasa anaokutana nao Freeman Mbowe Kwa sasa
Na ndio sababu Katibu mkuu Mh Mnyika kazi zake anafanyia Kanisani na ushauri anapata huko huko Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Na uwezekano mkubwa Lisu akiondoka na Mnyika atashauriwa Aondoke na hawezi kukataa kulitii Kanisa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 2025
Chadema ni Wapinzani wa Mchongo 😄🔥
Mbowe ametuchuuza muda mrefu sana.
Slaa aliondoka tukambeza sana.
Makamu wake yule mzee wa Sumbawanga tulimbeza pia
Zitto na Kitila
Baregu
Prof Safari
HAtukujua kinachoendelea...muda si mrefu Lissu atamalixia kazi ya kufunua blanketi nyeti za Mbowe zining'inie nje.
Kwaheri chama cha Chadema...sasa mnaungana kuximu na Lipumba rasmi tarehe 21 Jan ikiwa mtafanya makosa.
Mkuu na wewe ni wale wasiotaka kuwe na uchaguzi wa mwenyekiti CHADEMA? Au hutaki tu Mbowe agombee? Au hutaki vyote? Au unataka Lissu apite bila kupingwa na kukabidhiwa kiti moja kwa moja?Fikiria Mwenyekiti wa Chadema aliyekuwa kazungukwa na Wasomi wabobevu kama washauri sasa Washauri wake ni Mwanamuziki wa kufokafoka Sugu Moto Chini, Mlanguzi wa mifugo ya Mpakani Dalali Wenje na mume wa mbunge wa COVID 19 Mzee Kigaila
Unaweza Kupata picha ya ugumu wa kisiasa anaokutana nao Freeman Mbowe Kwa sasa
Na ndio sababu Katibu mkuu Mh Mnyika kazi zake anafanyia Kanisani na ushauri anapata huko huko Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Na uwezekano mkubwa Lisu akiondoka na Mnyika atashauriwa Aondoke na hawezi kukataa kulitii Kanisa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 2025
Chadema ni Wapinzani wa Mchongo 😄🔥
Daaah hii post ina ukweli fulani...Fikiria Mwenyekiti wa Chadema aliyekuwa kazungukwa na Wasomi wabobevu kama washauri sasa Washauri wake ni Mwanamuziki wa kufokafoka Sugu Moto Chini, Mlanguzi wa mifugo ya Mpakani Dalali Wenje na mume wa mbunge wa COVID 19 Mzee Kigaila
Unaweza Kupata picha ya ugumu wa kisiasa anaokutana nao Freeman Mbowe Kwa sasa
Na ndio sababu Katibu mkuu Mh Mnyika kazi zake anafanyia Kanisani na ushauri anapata huko huko Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Na uwezekano mkubwa Lisu akiondoka na Mnyika atashauriwa Aondoke na hawezi kukataa kulitii Kanisa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 2025
Chadema ni Wapinzani wa Mchongo 😄🔥
Truth is huwez kuwa adaa watu miaka yote, one day they will find out, na huo ndio utakuwa mwishoMbowe alidhani anaweza kuwahadaa watu siku zote. Amefanya siasa biashara pale CDM kwa muda mrefu.
Kuna na wengine umewasahau:Fikiria Mwenyekiti wa Chadema aliyekuwa kazungukwa na Wasomi wabobevu kama washauri sasa Washauri wake ni Mwanamuziki wa kufokafoka Sugu Moto Chini, Mlanguzi wa mifugo ya Mpakani Dalali Wenje na mume wa mbunge wa COVID 19 Mzee Kigaila
Unaweza Kupata picha ya ugumu wa kisiasa anaokutana nao Freeman Mbowe Kwa sasa
Na ndio sababu Katibu mkuu Mh Mnyika kazi zake anafanyia Kanisani na ushauri anapata huko huko Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Na uwezekano mkubwa Lisu akiondoka na Mnyika atashauriwa Aondoke na hawezi kukataa kulitii Kanisa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 2025
Chadema ni Wapinzani wa Mchongo 😄🔥
Hapo yeye ndo atakuwa anawashauri. Mhe. Mbowe amekuwa kama Museveni.Kuna na wengine umewasahau:
View attachment 3203337
View attachment 3203338
Hao ndiyo Tanki na fikira lenyewe sasa!
Huyu ni mfitini tu,ukifatilia mada zake ni za kigeugeu uwenda ni project kabisa ya fitna na anafungu lake kaandaliwa.Mkuu na wewe ni wale wasiotaka kuwe na uchaguzi wa mwenyekiti CHADEMA? Au hutaki tu Mbowe agombee? Au hutaki vyote? Au unataka Lissu apite bila kupingwa na kukabidhiwa kiti moja kwa moja?
Uko wapi hasa? Au ndio unaendelea kudemka kwa raha zako ukiona CHADEMA inaangamia na kuwa “wapinzani wa mchongo”?
Mantiki yako jiniFikiria Mwenyekiti wa Chadema aliyekuwa kazungukwa na Wasomi wabobevu kama washauri sasa Washauri wake ni Mwanamuziki wa kufokafoka Sugu Moto Chini, Mlanguzi wa mifugo ya Mpakani Dalali Wenje na mume wa mbunge wa COVID 19 Mzee Kigaila
Unaweza Kupata picha ya ugumu wa kisiasa anaokutana nao Freeman Mbowe Kwa sasa
Na ndio sababu Katibu mkuu Mh Mnyika kazi zake anafanyia Kanisani na ushauri anapata huko huko Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Na uwezekano mkubwa Lisu akiondoka na Mnyika atashauriwa Aondoke na hawezi kukataa kulitii Kanisa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 2025
Chadema ni Wapinzani wa Mchongo 😄🔥
Daaah ila wewe mzeeFikiria Mwenyekiti wa Chadema aliyekuwa kazungukwa na Wasomi wabobevu kama washauri sasa Washauri wake ni Mwanamuziki wa kufokafoka Sugu Moto Chini, Mlanguzi wa mifugo ya Mpakani Dalali Wenje na mume wa mbunge wa COVID 19 Mzee Kigaila
Unaweza Kupata picha ya ugumu wa kisiasa anaokutana nao Freeman Mbowe Kwa sasa
Na ndio sababu Katibu mkuu Mh Mnyika kazi zake anafanyia Kanisani na ushauri anapata huko huko Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Na uwezekano mkubwa Lisu akiondoka na Mnyika atashauriwa Aondoke na hawezi kukataa kulitii Kanisa
Nawatakieni Heri ya Mwaka Mpya 2025
Chadema ni Wapinzani wa Mchongo 😄🔥