Kutoka kusukuma mkokoteni na kubeba magunia sokoni mpaka kua Mfanyabiashara Mkubwa

Kutoka kusukuma mkokoteni na kubeba magunia sokoni mpaka kua Mfanyabiashara Mkubwa

Dr am 4 real PhD

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
11,640
Reaction score
24,066
✍️✍️✍️ Mnao ni uliza utajiri na pesa nime pataje 👉 👉 Niulizeni na ule Umaskini Nili Utoaga wapi 🙏🙏🙏 Fisi hafi Kwa shida

Kichwa cha habari hapo juu sio maneno yangu Mimi ni caption ya what's up status ya Moja ya wapwa wangu.

Kutoka kusukuma mkokoteni na kubeba magunia sokoni mpaka kua mfanyabiashara MKUBWA.

Kuna siku jamaa nilikutana nae kwenye kupiga story mbili tatu akanionyesha control number ya TRA kulipia 62m Ili kutoa mizigo yake bandarini.

Je, ni sahihi kuwatimulia VUMBI na kuwapiga vijembe(HATERS) wale watu wote ambao walitudharau na kutuona hatuwezi kuwa chochote katika hii Dunia

Karibuni tujadili.....

images (79).jpeg
images (78).jpeg
images (80).jpeg
 
True Kuna Leo na kesho...
Yeah ni kweli,, ndugu ambao hawakukuthamini kipindi unahitaji msaada wao kama umefanikiwa ukiwiwa kuwasaidia wewe wasaidie, na kama unaona huwezi better ukae kimya uwajibu tu kwa vitendo kuliko kujifanya unaongea sana mwisho wa siku ukianguka tena watakucheka na kukubeza zaidi ya mwanzo
 
Yeah ni kweli,, ndugu ambao hawakukuthamini kipindi unahitaji msaada wao kama umefanikiwa ukiwiwa kuwasaidia wewe wasaidie, na kama unaona huwezi better ukae kimya uwajibu tu kwa vitendo kuliko kujifanya unaongea sana mwisho wa siku ukianguka tena watakucheka na kukubeza zaidi ya mwanzo
Very True
 
Hii ni kawaida kwa mtu mweusi kupata pesa. Vijembe, over spending,

We angalia hata hao raappers.
 
Ukitaka kuwaumiza hao Haters,wape msaada,wasaidie shida zao,

Haters pia wana mchango wao kwenye mafanikio ya huyo jamaa yako,hasira za kutengwa ndio zilimfanya apambane na afike hapo alipofika,kama wangemdekeza,huenda mpaka leo angekua anavuta mkokoteni.
 
Back
Top Bottom