Kutoka Kutaka Kuwa Mwandishi wa Habari na Kuishia Kuwa Mhandisi!....Je na Kwako MwanaJF ikoje Hii?

Nilitamani sana kuwa katibu mkuu wizara ya fedha.

Saa hizi nalima majaruba ya mpunga huku mpanda
 
Nilitamani sana kuwa katibu mkuu wizara ya fedha.

Saa hizi nalima majaruba ya mpunga huku mpanda
 
Ulimaliza mwaka gan pale Mo tech?
 
Mimi nilitamani kuwa kama Dr shika ila sasa nimebaki kubet tu
 
Dah....Nilipenda sana mambo ya uchawi na ufugaji majini.....nimejikuta naishia kuwa mpigakura tu[emoji13] [emoji87]
Hahaha[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]nimecheka Sana Mkuu Hope Ndoto Yako Itatimia
 
Naamini kwa sababu bado nipo hai ndoto yangu itatimia tu japo vikwazo vingi ila ipo siku sita kata tamaa kama Dr. Shika aliepata umaarufu enzi za uzee wake.
 
Naamini kwa sababu bado nipo hai ndoto yangu itatimia tu japo vikwazo vingi ila ipo siku sita kata tamaa kama Dr. Shika aliepata umaarufu enzi za uzee wake.
Amini Mkuu, Nothing is imposible!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…