Naona amepagawa na hizo uniform, mambo mengine sio ya kufunga sana...Mkuu hao wote ni TISS hakuna JWTZ hapo.. zaidi ni polisi ambao pia ni watumishi wa IDARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa atambue kuwa ndani ya TISS kumekamilika hasa hicho kitengo cha ulinzi..
Yap nimekulia kwa hao watu hadi leo nkienda nyumbani nazikuta hizo yaan wanazo kabisaaa. Nimekaa malindi zipo na hazifichwi.
Umeandika Ag DGIS,Pascal Mayalla, inaonekana muundo wa TISS kisheria ulifanyiwa kazi wakati wa Rais Mkapa.
Either huku nyuma taasisi hiyo ilikuwa chini ya Mzee Mzena, Col. Hassy Kitine, Ag DGIS Augustine Mahiga, Lt. Gen. Imran Kombe then mabadiliko kisheria yakafanyika wakati wa Apson.
Je wakati huo, kitengo kisheria kilikuwa kikitambulika kwa jina gani??
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna section yenye askari 7 ni askari 9Mgambo na JKT ndio Infantry wa kwanza kabisa wanaotangulia mstari wa mbele katika Vita wakiwa katika Section yenye watu 7 Mjeshi anaweza kuwa Koplo (Section Commender) ndani ya Platoon
kwa hiyo mgambo wanachukua mafunzo yote ya askari wa miguu
Ok nakukubali Kamanda, mm nilizoea yale ya kizamani ya Platoon kuwa na askari 27 section 3 Redio na Platoon Commender. kumbe kuna section Commender mbeba RPGHakuna section yenye askari 7 ni askari 9
A platoon is a military unit typically composed of two or more squads/sections/patrols.
Platoon organization varies depending on the country and the branch
| Military organization Talk·View | ||
|---|---|---|
| Typical units | Typical numbers | Typical commander |
|
| ||
| fireteam | 2–4 | lance corporal / corporal |
| squad / section | 5–14 | corporal / sergeant / staff sergeant |
| platoon / troop | 15–45 | second lieutenant / first lieutenant / lieutenant |
| company / battery / squadron | 80–150 | first lieutenant / captain / major |
Kuna watu wamekuwekea vizuizi, au? Au unataka utumikeje? Si uko hai na unafanya kazi kila siku? Au unataka mpaka uwe Waziri ndiyo uridhike kuwa unalitumikia Taifa? As long as uko mzima na unafanya kazi kila siku, hukai vijiweni kupiga soga wakati wa saa za kazi, be comfortable, kwa jinsi hiyo hiyo unavyofanya kazi kila siku, unalitumikia Taifa!
Ag maana yake/kirefu chake Acting
Noted.Ok nakukubali Kamanda, mm nilizoea yale ya kizamani ya Platoon kuwa na askari 27 section 3 Redio na Platoon Commender. kumbe kuna section Commender mbeba RPG
Nakushukuru kwa ufafanuzi ila kutokana na majeshi na Nchi au operation za Nchi tofauti section inaweza kuanzia askari wa4 mpaka 15
Typical units Typical numbers Typical commander Military organization
Talk·Viewfireteam 2–4 lance corporal /
corporalsquad /
section5–14 corporal /
sergeant /
staff sergeantplatoon /
troop15–45 second lieutenant /
first lieutenant /
lieutenantcompany /
battery /
squadron80–150 first lieutenant /
captain /
major
Platoon inakuwa na askari 27 + Platoon Commander, Platoon Sargent, Field Signolar, Radio Operator na Runner. Jumla wanakuwa 32. Hao watano walioongezeka wanaitwa Makao makuu ya Platoon-Platoon HQOk nakukubali Kamanda, mm nilizoea yale ya kizamani ya Platoon kuwa na askari 27 section 3 Redio na Platoon Commender. kumbe kuna section Commender mbeba RPG
Nakushukuru kwa ufafanuzi ila kutokana na majeshi na Nchi au operation za Nchi tofauti section inaweza kuanzia askari wa4 mpaka 15
Typical units Typical numbers Typical commander Military organization
Talk·Viewfireteam 2–4 lance corporal /
corporalsquad /
section5–14 corporal /
sergeant /
staff sergeantplatoon /
troop15–45 second lieutenant /
first lieutenant /
lieutenantcompany /
battery /
squadron80–150 first lieutenant /
captain /
major
Wambea sana hao kengeRaia haogopwi! ila nasikia wanachohofia hao mapot, TIss ni wambea.
5/5
Ccm wameharibu idara baada ya kujaza makada wasio na sifaEti unaandika huko nje tuna mawakala wakubwa hafu ghafla
Mimi sipo TISS [emoji23][emoji23][emoji28]
YAANI viwatu vya TISS bhana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbna mna recruit ugoro sana siku hizi nyie jamaa [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
ee bwana we hao watu walikuwa wakihesabu hata visoda vya bia unazokunywa enzi hizoWambea sana hao kenge
Idara iliharibika kipindi cha kipilimba"Ccm wameharibu idara baada ya kujaza makada wasio na sifa
Mangu ni balozi wetu nchini Rwanda.Na
Ni balozi I believe ila sina hakika kama Yuko posted nchi yoyote..but am sure bado ana enjoy privileges zote za IGP...
Aisee!Mkuu hao wote ni TISS hakuna JWTZ hapo.. zaidi ni polisi ambao pia ni watumishi wa IDARA
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe mvivu wa kusoma katiba utaelewa vizuri na baada ya kuelewa huenda ukawa mwalimu mzuri kwa wale wasiojua.Leo mseme igp ni top wa dgi acheni utani nyie
Majukumu mzee wangu