Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa KING MSWATI IV enzi zangu, naomba sana kama kuna aliye na mwanangu anipe sasa. Nimejadiliana na mke wangu Lady doctor tumeona tuko tayari kuanzisha ALCC. (Arushaone-Lady doctor Children Center).
Naanza na Mamndenyi Madame B Blaki Womani
Niulizie kwa shem wako The secretary kama anao wanangu.
Kusema ukweli mi nilipojua nina naniliii nilienda kwa docta akananiliuuu,kwa hyo cnaga dumuyo akuuuu!Hivi Remmy tulishakutana kwenye michepuko yangu enzi zangu? Swali hili pia nalielekeza kwa King'asti Kongosho Preta kerucee KOKUTONA Arabela charminglady Passion Lady MwanajamiiOne Zinduna marejesho sweetlady Elizabeth Dominic. Nitarudi
Hi dady!Wangu walivyo wengi hadi mmojawapo nimemuoza huyo Arushaone
mmmmmmhhhh Arushaone i am watching you! Kuwa kwangu mjumbe wa kamati ya katiba hainizuii kuchunga mali zangu.
The secretary embu panda shabiby sasa hivi uje dodoma.
mhhhhhhhhhhh dadiii mimi nilijua niko peke yangu wa kwanza na wa mwisho
Usijali my daughter, enzi za ujana wangu nilikuwa moto kwa kuotea mbali. Ila nafasi yako iko pale pale hata kama wadogo zako watakuja home.
Hongera kwa kubadilisha avatar!!!!!!!!
Hello sweetpie...
Waendeleaje na mjukuu wangu?