We subiri inatie ndani ndo utajua kwanini Dunia duara....shauri yakoMbona kishaeleweka?
We subiri inatie ndani ndo utajua kwanini Dunia duara....shauri yako
​shikamoo mwana mpotevu!!
Kijana hivi bunge la katiba limekwisha?
Hivi na yeye ni mjumbe!
Kijana hivi bunge la katiba limekwisha?
Habari ndio hiyo!!
Aaaah ndo maana haonekaniki
Halijaisha lakini halinizuii kulinda mali zangu dhid ya baba paroko..
Baba paroko akihudumiwa na waumini wake sio kuiba!!!!!!!!!!!
Wanampa wenyewe!!!!!!!!!!!!
Kwa kuwa anawadanganya na cheo chake ubaba paroko..
Mbona kishaeleweka?
kinini?
Kishimo!!!!!!!