Binti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape!
hilo sikio utafikiri mtoto alieko tumboni
Ndo rangi yangu hiyo!
hahahahahahaha hilo sio la kuuliza we chepuka ukimuacha atajua jogoo hapandi mtungi
hata mi naona
What??????,???
What??????,???
haya baba miss neddy umemsikia mtoto? Sikunyingine maneno magumu usiongee mbele yake maana ye anayatamka tu bila kujua maana yake.
Cc: my husband Arushaone
Arushaone inamaana umemshindwa kabisa? Acha masihara bhanaaaaaBinti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape!
shem mi daily nakwambia
huyo bintiyo kutulia njia kuu hawezi
umejionea mwenyewe!!tema mate tumchape!!
hahahahaha mamii badala ya kunitetea ndo wachochea kuni eeeeh
nilipe ghali nikutetee kwa dingiyo
la sivyo natema mate akuchape wallah!!