ngoja nikuchukue Arushaone atabaki analia tuhivi mie nina roho ya chuma? Naomba uwekwe kwenye #teambazazi
cc: Kaizer, Eiyer, mwekundu, Nicas Mtei mpokeeni mwanachama mpya
hahahahahaha hilo tu Excel atakupa
haya nasubiri mihela
toka kwa don mkwe!!
Arusha au Dasalam?Upogo bibie?
Missing that sweet old times babe
Hahaha. Inside10Hahahahaha..........my ex husband.
Mjini tulikuleta mie na Blaki Womani......
Lady doctor ukamuona mtamu.
Mtoto wako nilimwachia mume mwenzio Ben Saanane.
Niko na maisha mapya na mpenzi Remote
Unafukua makaburi au sioHahaha
Kumbe zamani ulikuwaga hivyo ehh!Unafukua makaburi au sio
Nilikuwa mtamu saaaaanaKumbe zamani ulikuwaga hivyo ehh!
Saivi umeshazeeka unalea wajukuu sio!Nilikuwa mtamu saaaaana
Na kwako piaSawa bana weeknd njema