KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

Mbona wewe kila wakati unaenda chooni sisemi?

Nashangaa kila mzunguko mmoja unadai kwenda huko kumbe unapumzika kijanja

Hatujamaliza hata mziki mmoja umechoka namna hii

Wapili je?

si bora mie ninae pumzika.... Sa we umechoka halafu bado unajidai kujikaza na ole wako uniangukie
 
si bora mie ninae pumzika.... Sa we umechoka halafu bado unajidai kujikaza na ole wako uniangukie
Unamjua huyu jamaa hapa chini?

images
 
iam speechless mr Arushaone... i think i should stop falling in love... it worthes nothing more than pain...

i think i should start implementing this policy.. no love
Maskini baba mwita yani naona presha inakunyemelea,omba mungu kiharusi kisikupate kwa mshtuko,hayo madogo,katoto kana makubwa hako!
 
Last edited by a moderator:
lenu moja ndio umletee umati wa watoto? akipika nyama kilo moja mchuzi aweke lita ishirini ili utoshe......bora hata Kaizer mwenye wake wengi coz kila mtu analea alicho create

mpenzi wangu DEMBA nakupenda sana ujue....huyu Arushaone huyu mwache tu ni wa kumwombea
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom