Ni matumaini yangu kuwa ni wazima wa Afya.Nakuja kwa mara nyingine kuomba ushauri nikiamini hapa ndio sehemu pekee ambapo huwa napata majibu ya matatizo yangu.Leo ningependa kujua wakati wa kujamiana manii kutoka nje baada ya kumaliza tu tendo ndio kawaida au kuna tatizo? na kama kuna tatizo nani mwenye tatizo? na njia gani ya kutatua tatizo hilo?Mara nyingi kila nnapokutana na mwenzangu nikimaliza manii huwa naziona zinachungulua mlangoni (uke) kwake.je ni sababu inayoweza mwanamke asipate mimba?naomba ushauri wenu tafadhari niweze kufahamu .