Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
“Huwezi kumtoa Baleke, Phiri utuletee Jobe sijui Fred wanasimba wasiwe waoga kusema, hapa uongozi umeteleza hata kama wanataka kwenda nusu fainali au kuchukua ubingwa wa Afrika lakini ndio Center Foward Fred ? midfield Jobe ? Sijui Babacar Sarr eeeh jamani ?
“Hawa wachezaji hawa, ukienda Tandika, Mwananyamala watoto wa kihuni sisi ambao tumecheza mpira and katika level ndogo mashindano haya ya Ndondo wapo kama utitiri,” Mwina Kaduguda akizungumza katika kipindi cha Michezo na Wapo Radio.
Kumbuka: Huyu ni msomi na alishawahi kuwa kiongozi wa Simba, tena sio kiongozi tu. "Alikuwa anatoa hadi pesa zake mfukoni ili awanunulie wachezaji wa Simba Chapati" wakiwa kambini kipondi hiko Simba wanalima Bamia pembezoni mwa mto msimbazi ili wapate pesa ya kuwaweka wachezaji kambini.
Kipindi hiko wengi wenu wanaJF hamkuwa mmezaliwa au bado mlikuwa mpo nyakatuntu keisho Karagwe.
“Hawa wachezaji hawa, ukienda Tandika, Mwananyamala watoto wa kihuni sisi ambao tumecheza mpira and katika level ndogo mashindano haya ya Ndondo wapo kama utitiri,” Mwina Kaduguda akizungumza katika kipindi cha Michezo na Wapo Radio.
Kumbuka: Huyu ni msomi na alishawahi kuwa kiongozi wa Simba, tena sio kiongozi tu. "Alikuwa anatoa hadi pesa zake mfukoni ili awanunulie wachezaji wa Simba Chapati" wakiwa kambini kipondi hiko Simba wanalima Bamia pembezoni mwa mto msimbazi ili wapate pesa ya kuwaweka wachezaji kambini.
Kipindi hiko wengi wenu wanaJF hamkuwa mmezaliwa au bado mlikuwa mpo nyakatuntu keisho Karagwe.