United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
acheni zenu bwana passport zinatolewa vizuri tu kaombeni kwanza ndio mje kulalamika mtu huna namba za nida,huna affidavit,huna barua ya utambulisho,huna cheti Cha kuzaliwa unataka nani akupe passport kwani ni chapati zileHapa bongo mambo mengi ni trab na trat... yaani yaani yaaani yyaaa yyyya yan trab na trat.
Linchi la ajabu sana hili lenye viongozi wasio na maono
Acha kutetea ujinga, Nida peke yake ni document tosha ya kuombea passport, upumbavu mwingine wa nini?acheni zenu bwana passport zinatolewa vizuri tu kaombeni kwanza ndio mje kulalamika mtu huna namba za nida,huna affidavit,huna barua ya utambulisho,huna cheti Cha kuzaliwa unataka nani akupe passport kwani ni chapati zile
Kuwa na leseni ni lazima?mkuu kama upo tayar mm nipo na kampuni ya kupeleka watu huko
uwe na pass ya kusafiria, picha 3 ppsize, 2 za kawaida, leseni na vitambulisho vyako vyote toa copy tuwasiliane
Weka mambo hadharani, kampuni au Agent ni jambo la siri?
ya kama ni dreva
Kumbe bila nida hupati passport mkuu?Acha kutetea ujinga, Nida peke yake ni document tosha ya kuombea passport, upumbavu mwingine wa nini?
Kuna mtu ana passport ya zamani, kupata mpya huo upumbavu wote wa nini?
Kama una namba za nida unapewaKumbe bila nida hupati passport mkuu?
🤣🤣🤣🤣🤣Takukuru njooni hapa kuna harufu ya ufisadiKama issue ndogo tu passport imekutowa kamasi Sasa Canada ungekwenda kufanya nini?
Baki nyumbani tu, Abroad si kwa watu wenye bongolala.
Iko wapi iyo kampuni? Towa maelezo ya kutosha ili watu wapate taarifa sahihimkuu kama upo tayar mm nipo na kampuni ya kupeleka watu huko
uwe na pass ya kusafiria, picha 3 ppsize, 2 za kawaida, leseni na vitambulisho vyako vyote toa copy tuwasiliane
Mkuu ntakutafuta ngoja nifanye mpango wa passport, yangu ni ile ya zamani sijawahi kuibadidili ntakutafutamkuu kama upo tayar mm nipo na kampuni ya kupeleka watu huko
uwe na pass ya kusafiria, picha 3 ppsize, 2 za kawaida, leseni na vitambulisho vyako vyote toa copy tuwasiliane
pamoja mkuuMkuu ntakutafuta ngoja nifanye mpango wa passport, yangu ni ile ya zamani sijawahi kuibadidili ntakutafuta
Kwakeli mbususu za Tanzania ni tamu. Huko ughaibuni kuteseka tuWabongo hatuna shida huwa bado tuna another option,uhakika kula kulala, mbususu mpaka kubeti