Hata wewe hujui mkuu subiri muda utashangaa mwenyeweDah! Maisha ni safari ndefu asee.. Mama hata hakujua kama one day angekuja kuwa namba one
Aisee. Prezdaa kama anajibebisha.
π€π€π€ nije kuwa namba one mie au π³ππHata wewe hujui mkuu subiri muda utashangaa mwenyewe
ππππEnzi hizo Kiroboto anahitaji Sir Nature
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo macho yake yalivyo.
Hivi Juma Nature hajakula teuzi bado!?
Unaweza kuwa hata number one fan![emoji851][emoji851][emoji851] nije kuwa namba one mie au [emoji15][emoji849][emoji849]
Ukisemacho ni kweli au? Mbona kama mheshimiwa mwenyewe kabisaHapana siyo yeye anafanana tu ila hapo ilikuwa kwenye hafla fulani juma alimtambulisha bi mkubwa wake ila kiasi fulani anashabihiana tu na mh.