Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Umeandika maelezo meengi lakini tambua uhai wa mtu unathamani kuliko mali. Utafutaji wa kutoa roho za watu kisa mali ni ushetani
 
Umeandika maelezo meengi lakini tambua uhai wa mtu unathamani kuliko mali. Utafutaji wa kutoa roho za watu kisa mali ni ushetani
Basi dunia nzima Ni ushetani. Nina Imani unajua jinsi ambavyo Roman empire,ottoman empire,na dola kibao Kama uajemi n.k zilivyoitawala dunia na wazungu ama waarabu wametuuza na kutuua mno utumwani na kutuibia Mali zetu.


Hata saivi viongozi walioko madarakani wa nchi za kiafrika wanaua watu wao.

Wana misuse Kodi zetu mfano badala ya kuweka vifaa salama na vya kutosha dispensary ndugu zetu wajifungulie huko vijijini Ila hawaweki wananunua vx ya 600M na kusaini miktaba ya kukodi software kufuatilia umeme kukatika. So mama atakufa na mtt tumboni haya Ni mauaji makubwa mno,Kuna shule hazina miundombinu mizuri ya watt wetu kusoma so watt wanaishia njiani wangekuwa hata wahudumu wa hotel wakajipatia mkate Ila wanaishia njiani mimba huku wangekaa boarding zingesaidia Mana vishawishi,Hakuna walimu wazuri na hawatoshi, vijana wanaopatikana Ni wavuta bangi na Malaya ,unategemea Nini baadaye Ni magonjwa ya kufa na kula dawa ambazo wanakuja kuwa vichaa ,wakaba kabali wanauwa Mana hawakuendelea na shule Mana mazingira hayakuwa rafiki so wanauwa Ila aliyewauwa Ni viongozi wetu.

Kuna roads hazijengwi watu wanaiba pesa ya wananchi so ajali zinatokeapo ama mgonjwa anafia njiani maana roads ilikuwa mbovu mgonjwa angewaishwa rufaa ambako Kuna bingwa doctors ama wangewekwa kila Kijiji Mana Kodi ipo ya kuwalipa.


Yaani Ni ushetani UMEJAA DUNIANI.

hata hili suala la ushoga nadhani dunia inafika tamati Muumbaji atachukia atatia kiberiti kufyeka shamba lake Mana amepanda Ila halitoi mazao mazuri. So atapanda upya Mana hajawahi choka safisha tokea gomoroha na sodoma na enzi za rutu.


Sijakataa Niko pamoja na wewe nimeongexzea points
 
Nashukuru. Nimekuja kuangalia ubora na viwango vya masimulizi haya kwa faida ya walaji kama ambavyo walinichagua kwa kura nyingi sana kusimamia hilo. Maana hawa wasimuliaji huwa wanadanganya wanadhani wanasimulia vilaza tu humu. Kumbe na sisi tupo.
Jambo jema , huyu tumkaushie Ni Kama story yake Ni kiburudisho ..mnk tukianza kumbana hapa achomoki

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yaaan ww ulitakiwa uwe mjeshi ila ndio hivyo, ulikosea njia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…